mxrereco JF-Expert Member Joined Feb 21, 2014 Posts 1,906 Reaction score 3,986 May 3, 2024 #21 Tanzania tupo pazuri sana, tupo chini asilimia moja. Vijana oweni hali bado shwarii
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 May 3, 2024 #22 Hapa ndo nmepata jibu kwanini CR7 kagoma kabisa kufunga ndoa na Jojina, mama Mtoto wake, mwaka wa 10+ huu wanaishi TU Ila ndoa kagoma.
Hapa ndo nmepata jibu kwanini CR7 kagoma kabisa kufunga ndoa na Jojina, mama Mtoto wake, mwaka wa 10+ huu wanaishi TU Ila ndoa kagoma.
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 May 3, 2024 #23 Wahindi ndoa zao nyingi Ni family oriented, kumuacha MKE uliepewa na familia Ni laana na familia haiwez kukuvumilia Maana unatafuta kuzifarakanisha familia mbili zenye background history kubwa uko nyuma La Princesa said: Aisee, taasisi ya ndoa inazidi kukanyagwa 😔Heko kwa wahindi Click to expand...
Wahindi ndoa zao nyingi Ni family oriented, kumuacha MKE uliepewa na familia Ni laana na familia haiwez kukuvumilia Maana unatafuta kuzifarakanisha familia mbili zenye background history kubwa uko nyuma La Princesa said: Aisee, taasisi ya ndoa inazidi kukanyagwa 😔Heko kwa wahindi Click to expand...
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 May 3, 2024 #24 Kingine India talaka Ni ngumu maana kule wanawake wengi ni conservative, hakuna ufeminism sn.