Takwimu za TRA zinaipinga CCM kuhusu Serikali Tatu

Takwimu za TRA zinaipinga CCM kuhusu Serikali Tatu

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350
Rasimu ya Katiba imepunguza mambo ya muungano kutoka 22 mpaka saba, kwa sasa mambo ya muungano yanaendeshwa kwa tsh 1.2 trilion kwa mwaka, hivyo sababu mambo yamepungua tunaamini yatapungua, kwa sasa wanakusanya trilion 4.5 kutoka kodi ya mapato na ushuru wa bidhaa.

Source: Raiamwema tr julai 31

"Vox populi vox dei"
 
Back
Top Bottom