Uchaguzi 2020 Takwimu zinaongea wazi kwa CCM kushinda 2020

Rais Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Sio Mungu, kama Mungu ameshatuletea aliyemponya risasi 16 Tundu Antiphas Lissu!!

Huyo wa Magufuli ni mungu, tena mungu wa chato!!
 
Reactions: BAK
Eti mchagueni au jitayarisheni ku suffer huyu Rais wa Tunusia sijui walimuokota wapi
 
Hizo takwimu UCHWARA ulizoweka? Umeshasikia manung’uniko ya Wafanyakazi, Wakulima na Wafanyabiashara kuhusu miaka mitano iliyopita?

mbona unakataa takwimu tena?
 
Rais Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Alishushwa lini na akitokea wapi? Je ni huyu huyu Magufuli wa mwaka 1995, Magufuli wa mwaka 2000, Magufuli wa mwaka 2005 na Magufuli wa mwaka 20015 au mwingine?

Je ni huyu huyu Magufuli wa Mkapa na Magufuli wa Kikwete? Je ni huyu huyu Magufuli wa Gadafi kiongozi wa Kuwait hapana wa Iraq, Magufuli wa fent ford, Magufuli wa nyumba za serikali, Magufuli wa boti chakavu, Magufuli wa wasiojulikana au Magufuli wa Chato? Acheni kufuru ndugu zangu!
 
Tak
Takwimu hii iko poa na haijadanganya hata kidogo.

Kwa jinsi hiib nidhahiri kuwa CCM wananafasi kubwa ya ushindi kulinganisha na vyama pinzani
 
Kwa takwimu hizi ni sahihi kusema kuwa wapinzani wanajisumbua kugombea nafasia ya uraisi
 
Jinsi ccm na magufuli wao walivyovurugwa na Tundu Lisu hadi hizo takataka zote ulizoziorodhesha wamezisahau badala ya lile shangingi linakwambia Askari wao hawezi kushindwa kuua kwa risasi zaidi ya tatu
 
Takwimu hii iko poa na haijadanganya hata kidogo
Kwa jinsi hiib nidhahiri kuwa CCM wananafasi kubwa ya ushindi kulinganisha na vyama pinzani
Takwimu inayounganisha Tume ya Uchaguzi, polisi na vyombo vya dola au siyo?
 
Jinsi ccm na magufuli wao walivyovurugwa na Tundu Lisu hadi hizo takataka zote ulizoziorodhesha wamezisahau badala ya lile shangingi linakwambia Askari wao hawezi kushindwa kuua kwa risasi zaidi ya tatu
Hapana
Kwa mtu mwenye professional yake katika kitu Fulani kimsingi kumdhalilisha sio vizuri.

Hakuna mtu aliyefurahishwa na kitendo alichofanyiwa tundu lissu na ndio maana viongozi wengi was serikali walijitoa na kwenda kumfariji alipokuwa amelazwa pale Nairobi, lakini pamoja na hayo kuitumia Kama sababu ya kuitukana serikali wakati maswala kama haya hutokea sehemu nyingi na tofauti na sio serikali ianyokuwa inatekeleza Mambo hayo.

Sio vizuri kuupotosha umma kuwa umefanyiwa unyama na serikali sio sahihi na hata mm sikubaliani nayo
 
Mwaka huu Chama cha Mapinduzi kitapata ushindi mnono.
 
Hapana ndg nadhani haujaielewa vizuri hii post
Jaribu kuosoma tena utaielewa vizuri tu
Mbona Kama vile hii post imejaribu kujifafanua vizuri tu.
Sema ni kwa vile tupo kwenye upepo wa uchaguzi ila kimsingi Mambo yote yaliyo elezwa kwenye hiyo post ni sahihi na ipo sawa kabisa tukiacha uchama Wala ushabiki wa timu
 
Kutia hofu wafanyabiashara na kuwafugia kwa kizingizo cha kodi
 
Hizi hoja zimeshabuma mzee. Tunataka kuwa huru. Tunataka serikali inayojali watu wake. Siyo hii isiyokuwa na ubinadamu iliyojaa ubaguzi
Wewe ni Uhuru gani unaotaka au unataka umun'gunywe,ninani hana Uhuru nchi hii,kumchora magu masoud kipanya anamchora,kumtukana tundulisu anamkejeli kila siku, kunya hamsimamiwi,mnatembea mpaka saa sita usiku,disko mnakesha sasa kipi mnataka MTU akivunja sheria ya maadili aachwe ndio maana ofisi za serikali wamepewa aina ya mavazi yatakiwayo,shuleni,bungeni,vyuoni sisi tuna maadili yetu kuheshimiana sisi sio wazungu wanaoishi kama kambale au wanyama wa porini,Kyle kila kitu kimeruhusiwa.
 
Umesahau kuweka number za simu upate teuzi.....TAKATAKA kama hizi ndio mwenyekiti wenu anazitaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…