Uchaguzi 2020 Takwimu zinaongea wazi kwa CCM kushinda 2020

Uchaguzi 2020 Takwimu zinaongea wazi kwa CCM kushinda 2020

Hata Mimi hiyo 'Takwimu' yako ya 'Ndotoni' naiona na kukubaliana nayo kwa 100% ila tatizo langu ni jinsi 'Mgombea' Wetu anavyohaha Kujinadi tu.
Acha upuuzi na upumbavu wako. Mgombea anaehaha kujinadi angetoa presentation nzuri kama hii leo hapa Mwanza? Hivi hizo faida za Twiga minerals unazifaidi kama nani wewe? Kwanza wewe sio mtanzania ni mkimbizi toka Rwanda.
 
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Tunashukuru kwa yote aliyoyafanya ila safari hii tunamwajiri mwingine, mwambie asikasilike ajira za mkataba ndivyo zilivyo.
 
Angefanya yote hayo Lazima Angepata tuzo kutoka kwa MOHAMED IBRAHIM.

Badala yake alijikita kwenye Kuteka Kuua upinzani,kufunga mikutano ya kisiasa,kukandamiza na kufungia vyombo vya habari nk nk nk...

Alijaa matendo mengi maovu
 
ndani ya miaka mitano tayari tupo uchumi wakati ni kwa namna gani inaonesha serikali inatakwimu halisi na sio fake
 
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...

Hzo ndiyo takwimu😂😂😂 kujenga treni ni takwimu😂😂
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 


Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
 
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Nafikiri mtu yoyote anayefikiri ushindi wa CCM ni wa haki ni kwasababu tu hajui ufedhuli uliofanywa na ccm kuwaengua wapinzani, matumizi makubwa ya nguvu au ni mtu asiyejali haki na demokrasia. Hao ndio wanaofurahia ushenzi wa ccm na kuona ni sawa tu.
 
FB_IMG_1599491176364.jpg
FB_IMG_1599491187932.jpg
FB_IMG_1599491182977.jpg


Vipi zimetosha au tuongeze na nyingine hizi nyomi za watoto
 
Kilichofanyika na kuonekana pale Mwanza jiji la wasukuma pale!!!! Hiii wagosha!!!

Ningelikuwa ni Mimi mpinzani nayeomba nafasi ya uraisi, ilikuwa ni kusema, wewe Mzee bhana, malizia miaka yako tano basi, tena Kwa Moyo mweupe na kicheko juu, halafu tunaanza Kampeni za wabunge tu!
 
Back
Top Bottom