Mtoto wa Golden Paste
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 166
- 120
[emoji849]Rais Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji849]Rais Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Acha upuuzi na upumbavu wako. Mgombea anaehaha kujinadi angetoa presentation nzuri kama hii leo hapa Mwanza? Hivi hizo faida za Twiga minerals unazifaidi kama nani wewe? Kwanza wewe sio mtanzania ni mkimbizi toka Rwanda.Hata Mimi hiyo 'Takwimu' yako ya 'Ndotoni' naiona na kukubaliana nayo kwa 100% ila tatizo langu ni jinsi 'Mgombea' Wetu anavyohaha Kujinadi tu.
Bora umemwambia JPM CHUMAiAcha upuuzi na upumbavu wako. Mgombea anaehaha kujinadi angetoa presentation nzuri kama hii leo hapa Mwanza? Hivi hizo faida za Twiga minerals unazifaidi kama nani wewe? Kwanza wewe sio mtanzania ni mkimbizi toka Rwanda.
Tunashukuru kwa yote aliyoyafanya ila safari hii tunamwajiri mwingine, mwambie asikasilike ajira za mkataba ndivyo zilivyo.Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Hahahaha dah BAVICHA mnajua sana kujifarijii Yaani Mnakuwa Kama Yatimaa ivi
Acha uongo hajashushwa na Mungu, kazaliwa Kama wewe na kwa Sasa Mama Yake mgonjwa Sana ila yuko hai.Rais Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Anao wapinzani wengi tuu, akiwemo mzee wa ubwabwa kuku ila hawatamshinda.Kwasasa Magufuli hana Mpinzani
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Nafikiri mtu yoyote anayefikiri ushindi wa CCM ni wa haki ni kwasababu tu hajui ufedhuli uliofanywa na ccm kuwaengua wapinzani, matumizi makubwa ya nguvu au ni mtu asiyejali haki na demokrasia. Hao ndio wanaofurahia ushenzi wa ccm na kuona ni sawa tu.Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho. Hizo takwimu, mikakati na mipango ndio huwavuta wapiga kura kufanya maamuzi yao kwenye sanduku la kura. Uchaguzi sio kampeni tu au kwenda kupiga kura lakini ni muunganiko wa matukio ya mikakati iliyowekwa kwa muda mrefu na hiyo ndio huwapa mwanga wa kwenda kufanya maamuzi...
Matendo gani? Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato kijijini kwake kwa kutumia kodi za wananchi??? Tena kwa kampuni yake Mayanga construction??!!Siku zote vitendo vinasauti
JPM anabebwa na matendo yake
😂😂😂😂 CCM mafala sanaView attachment 1561842View attachment 1561843View attachment 1561844
Vipi zimetosha au tuongeze na nyingine hizi nyomi za watoto
Haha NAWATAFUNA Unikaribishe tuje tucheze kisingeliMagufuli kapita tena.tarehe ya kuapishwa itakuwa ni lini,niandae kitoweo cha sherehe?