Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Faler Sana huyo jamaa aje hapa mwalimu ninavibunda namkopesha bila riba aje inboxKumbe. Nawe unakopaga nkajua walimu tu
Walipigwa sana hapo kabla.Wamejifunza sasa.
Masikini anafilisika?Wewe na wao nani kafilisika?
Wajinga tu promo kibao kumbe hamna kituPole sana mkuu, umefikaje huko!!
Hhhahaha mbwembwe nyingi kumbe pesa hawanaUnashangaa TALA,unawajua UMOJA LOAN?
Matangazo yao ni mengi,ila anza taratibu za kukopa,utaona kama utafanikisha.
Huna unachokijuaFaler Sana huyo jamaa aje hapa mwalimu ninavibunda namkopesha bila riba aje inbox
Kwahiyo unaona huu ni ujanja? Wabongo bhanaWalipigwa sana hapo kabla.
Mimi mwenyewe hao Tala, branch, mpawa na songesha wananidai mpaka leo.
Kuna Sehemu nimesema ni Ujanja?Kwahiyo unaona huu ni ujanja? Wabongo bhana
Vigezo vyao vilikuwa dhaifu mno.Walipigwa sana hapo kabla.
Mimi mwenyewe hao Tala, branch, mpawa na songesha wananidai mpaka leo.
Basi waseme wazi kuwa hawatoi mkopoWewe ndo Umefilisika!
Tala wamejifunza kwa ya nyuma.
Ulivyoandika ni kama unajisifu yaniKuna Sehemu nimesema ni Ujanja?