Tala watakuwa wamefilisika, mkopo wa elfu kumi vigezo lukuki kama unaomba viza ya Marekani

Tala watakuwa wamefilisika, mkopo wa elfu kumi vigezo lukuki kama unaomba viza ya Marekani

Achana na Tala mzee sasahiv watu wako na Branch hamna longo longo faster tu unapata chako. Cha msingi uwe tu Facebook account

Pakua hapa [emoji116]
Pata Tsh 7000 kwa haraka. Mikopo nafuu na Branch. Pata programu ya Branch: Branch - Personal Loan App - Apps on Google Play hakikisha umetumia kodi ya promo 6tnn8h ili upate Tsh 7000 ukishamaliza kurejesha mkopo wako wa kwanza.
 
Achana na Tala mzee sasahiv watu wako na Branch hamna longo longo faster tu unapata chako. Cha msingi uwe tu Facebook account

Pakua hapa [emoji116]
Pata Tsh 7000 kwa haraka. Mikopo nafuu na Branch. Pata programu ya Branch: Branch - Personal Loan App - Apps on Google Play hakikisha umetumia kodi ya promo 6tnn8h ili upate Tsh 7000 ukishamaliza kurejesha mkopo wako wa kwanza.
Sina Facebook
 
Hawa majamaa kumbe sio wa kweli, ukiwa mtandaoni wanajinasibu sana kuwa unapewa mkopo ndani ya masaa machache, nimeanza kuparangana toka juzi tena wanakomandi kuanza na elfu kumi ajabu ni kuwa kila nikiattach vinakuja vigezo vingine Kwa chini mpaka barua ya mtendaji na wadhamini watatu, nikamaliza hilo.

Baada ya hapo wanataka kitambulisho cha nida nikaweka lakini bado tu. Wakurungwa kama Kuna mtu amewahi kukopa Tala wewe uliwezaje mbona kama Hakuna dalili zozote au wamefilisika.

View attachment 2433204
Walimu wanakopesha wewe nenda kamkope
 
Back
Top Bottom