Mr Surplus Economy
Senior Member
- Mar 19, 2018
- 174
- 166
Sina FacebookAchana na Tala mzee sasahiv watu wako na Branch hamna longo longo faster tu unapata chako. Cha msingi uwe tu Facebook account
Pakua hapa [emoji116]
Pata Tsh 7000 kwa haraka. Mikopo nafuu na Branch. Pata programu ya Branch: Branch - Personal Loan App - Apps on Google Play hakikisha umetumia kodi ya promo 6tnn8h ili upate Tsh 7000 ukishamaliza kurejesha mkopo wako wa kwanza.
Walimu wanakopesha wewe nenda kamkopeHawa majamaa kumbe sio wa kweli, ukiwa mtandaoni wanajinasibu sana kuwa unapewa mkopo ndani ya masaa machache, nimeanza kuparangana toka juzi tena wanakomandi kuanza na elfu kumi ajabu ni kuwa kila nikiattach vinakuja vigezo vingine Kwa chini mpaka barua ya mtendaji na wadhamini watatu, nikamaliza hilo.
Baada ya hapo wanataka kitambulisho cha nida nikaweka lakini bado tu. Wakurungwa kama Kuna mtu amewahi kukopa Tala wewe uliwezaje mbona kama Hakuna dalili zozote au wamefilisika.
View attachment 2433204
Jaribu tu hawa jamaa ni super utakuja kuniambia mkuuSina Facebook
Kwani wamerudi lini nchini? Wananidai parefu hawa jamaaWamejifunza sasa.
WalimuWewe na wao nani kafilisika?