Ziggy Sobotka
Member
- Feb 13, 2019
- 19
- 36
Ndoa ya Billionea namba moja duniani mwanzilishi na mmiliki wa Kampuni ya mauzo mtandaoni ya Amazon Jeff Benzos na mkewe MacKenzie Bezos imeingia mchanga baada ya wanandoa hao kuamua kila mmoja afanye yake.
Wameshafungua jarada Mahakamani kwaajili ya kuivunja rasmi ndio hiyo iliyodumu kwa miaka 25 na kufanikiwa kupata watoto wanne (4).
Mahakama inategemea kumzawadia MacKenzie Bezos asilimia 4% ya hisa za kampuni ya Amazon zinazikadiliwa kuwa na thamani ya Dollar Billion 35 za Kimarekani na kumfanya kuwa Billionea wa nne kwa ukwasi (utajiri) kwa Wanawake huku Billionea wa kwanza kwa wanawake ni Françoise Bettencourt Meyers, aliyerithi kutoka kwa mama yake Liliane Bettencourt raia wa ufaransa.
Talaka hiyo kati ya Mkurugenzi huyo wa Amazon na mkewe imezua mjadala mitandani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wameshafungua jarada Mahakamani kwaajili ya kuivunja rasmi ndio hiyo iliyodumu kwa miaka 25 na kufanikiwa kupata watoto wanne (4).
Mahakama inategemea kumzawadia MacKenzie Bezos asilimia 4% ya hisa za kampuni ya Amazon zinazikadiliwa kuwa na thamani ya Dollar Billion 35 za Kimarekani na kumfanya kuwa Billionea wa nne kwa ukwasi (utajiri) kwa Wanawake huku Billionea wa kwanza kwa wanawake ni Françoise Bettencourt Meyers, aliyerithi kutoka kwa mama yake Liliane Bettencourt raia wa ufaransa.
Talaka hiyo kati ya Mkurugenzi huyo wa Amazon na mkewe imezua mjadala mitandani.
Sent from my iPhone using JamiiForums