Umeona ee, hapo hasira zote atazitolea kwa Makonda, kwa hapa nimemuadmire madereva koz yupo kimya unlike mbeba mikoba ya mabosi le mutuz.Uwiiiiii uwanja wa vita ungenogaaaa!
Maana Mange tofauti na huo umama na Mwele alikuwaga shogake pia,lazima anayo tusiyoyajua kuhusu Mange.
Hatareeee [emoji39][emoji39][emoji39]
Naona hakuelewa impact ya hicho alichotaka kufanya. Good thing ni kuwa ameweka chats zake na Anil akimtaka asifanye hivyo, ngoja niscreenshootAsante kwa shot,mnanipa raha kinoma.
No time ya kupoteza kuingia Insta...mambo yote JF.
Ila jamani hii ikoje?
Mange akisema ataeleza ukweli (tofauti na vile wengi tunavyofahamu) itakuwaje?
Haoni kama ndio atazidi kumdhalilisha Mzee wake maana wadau wana hadi mikanda ya video baba yake akifanyiwa mbaya?
Maana endapo akikataa wadau wataweka hadi video clips (kama namuona KP heheheee)
Mange najua huwa unapita huku kusoma,achana na hii issue ya kuongelea unaouita ukweli kuhusu marehemu baba yako.
Wadau tumeshapotezea,ukiongelea hili utaifumua hii issue upya ambao walikuwa hawajui waujue ukweli wa mambo.
Period
Hawezi, kesha sema hawezi anamheshimu Dr Mwele, lkn kwa tunaojua tunajua kuwa anaogopa kuibuliwa scandal zake na Mwele pindi atakapomuattack mzee waoKama wameanza hadi kuingiza na mambo ya wazazi hii haijakaa poa lemutuz atasababisha mange aanze kumchafua mzee wake!
Hapo nimeelewa vizuri!Hawezi, kesha sema hawezi anamheshimu Dr Mwele, lkn kwa tunaojua tunajua kuwa anaogopa kuibuliwa scandal zake na Mwele pindi atakapomuattack mzee wao
Mange kasema hawez kumgusa malecela bse ya wale watoto wengine wa malecela
Na wewe umbea unaujua HS πππππππππππIna maana James delicious anatoka na frank? Inawezekana but sidhani coz hawa mashoga wana tabia tu za kuwaganda wanaume wanaowapenda na kuwapost na kujicommentisha. Na yale madanga yao ya ukweli hawayapost unless mzinguane kwenye hela ndo atakulipua, wanalinda biashara lol. Na hata kama wanakulana, Frank angemruhusu delicious amuite hubby mbele za watu, mtu ana familia na reputation yake atakubali issue yao iwe open? Huyu delicious si ndo alikuwa anapost picha za jux na kumuita majina matamu matamu, ni sawa na yule mwingine alomganda Raymond wa WCB.
Hii michambo unaitoa wapi mkuu
- mapya2@olivermut unajua watu why wanasema mange talaka imemchanganya ambapo ni kweli huko nyuma alikua hstukani mange kama kanywa gongo. alikua anakupa fact na evidence sasa kabaki matusii tena makali sio kuchanganyikiwa huko ambapo huyo unomtukana yeye hajasema hata tusi moja? na kuhusu yule beatrice nahisi wewe @olivermut mgeni inst au mgeni kumjua mange nitakutafutia post juu chini uone jinsi alivyokua anafundisha kupata wanaume wa maana match.com. anamtukana bure yule dada kweli kawauza na alijitolea mpaka jinsi ya kukuandikia eng ila umlipe au utumie credit card yake kwa walokua hawana ila atawCharge. ulizia vizuri sikurupuki tu mimi kumchamba na wewe huo ushauri wako kaishauri bahari why ina chumvi usijifanye mother tereza wakati mgeni tu kwenye hii ligi
Jamani hizi si ni habari tu za mjini lolNa wewe umbea unaujua HS πππππππππππ
[emoji28][emoji28]Jamani hizi si ni habari tu za mjini lol
[emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86][emoji28][emoji28]
Umbea hauna mwenywe mwambie [emoji23] [emoji23][emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86]
Na wootee waliocommentAsa kwanini unatukana watu wote wakati unayegombana naye ni mleta mada tu? Notorious twit!