Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Hahaha! Ulimfukuza moja kwa moja! Ila sijapenda yeye kukimbia moja kwa moja! Yani one post only! Sasa mtu kama yeye alitakiwa awe na ngozi nene kidogo😀
Mange ni mwepesi sana kichwani..hawezi kubishana kwa hoja ndio maana haishi kublock watu kila uchwao
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
nifah shemeji yang kumbe nawe unajua kuchamba namna hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…