Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
T
Thank youno.2279 mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank youno.2279 mkuu
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Hahaha [emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Ulikuwaga unachamba balaa😂😂🙆♂️Hahahahaaa Mange anasumbuliwa na stress sana.
Juzi aliweka picha akiwa analia,halafu akafuta akaacha moja.
Baadae akajitetea eti ilikuwa kuhusu msiba!
Msiba ndio afute picha?
Na kwani msiba una ajabu gani hadi aseme kuwa ni wakati wake wa kushea nyakati za huzuni?
Huyu mwanamke anayaokota mataahira yake huko IG sio huku.
Yeah,nakumbuka ulionya na sasa kashikwa kwelikweli hadi kaanza kufunguka taratibu.
Karibu Ben.
maiiiii wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kulikuchaaa humuu. Woiiiiiiih
Dogoo upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maiiiii wangu
heh my nimekua dogo tena?Dogoo upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania wangekua wabishi kama Mange sahivi bongo ingekua ulaya...aiseee watu walikuwa wakimtabiria kwamba anarudi bongo lakini wapi mpaka Leo anaendelea kuwapiga spana, kuna mtu naye alisema serikali ipo katika hatua za mwisho kubadilisha na wafungwa hiyo mange atarudishwa nchini ule uzi sijui Upo wapi?
Mimi mange anachoniuzi ni kudharirisha watu picha zao, ila huwa ninaamini mange anashirikiana na watu wa serikalini tena vigogo kupata habari nyeti. Embu fikiria kipindi kile watu wanamtuhumu Lissu kusapoti ushoga alikuwa ana mhug askofu bangoza kama sijakosea, baadae mange akapost picha ya makonda kashikana na mzungu wanatoka kwenye chumba hotel nyota tano.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania wangekua wabishi kama Mange sahivi bongo ingekua ulaya...
Respect Mange
Dogoo!!heh my nimekua dogo tena?