Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Mwenzangu KP katufumbua macho katufumbua macho wengi.
Bila yeye hadi leo tungekuwa tunawekewa picha na video za Lance.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]video za lance ndo maana kamtafuta kp mpk kampata
maana si kwa umbea ule wa KP
 
Weweeeeee kumbe ndio yeye kweli kama Mange alivyokuwa anasema?
Tusubiri tuone kama KP hatopost chochote.
Jamani asiwe yeye tu!
yaah!yaani mi hata sitamani awe yy maana hafananii hata kidogo na pia mange atajisifu mnoo
 
yaah!yaani mi hata sitamani awe yy maana hafananii hata kidogo na pia mange atajisifu mnoo
Jamani natoa rai tufunge na kusali kumuombea mmbea mwenzetu KP asiwe ndio yeye aliyekamatwa.

Maana yeye pekee ndiye aliyeweza kuuangusha mbuyu ulioshindikanika Mange.

Mwenzangu yule mmama anayesema ndio KP...mhhhh!
 
Jamani natoa rai tufunge na kusali kumuombea mmbea mwenzetu KP asiwe ndio yeye aliyekamatwa.

Maana yeye pekee ndiye aliyeweza kuuangusha mbuyu ulioshindikanika Mange.

Mwenzangu yule mmama anayesema ndio KP...mhhhh!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] tufunge kwa kweli na km ndo yule mmama [emoji15] [emoji15] [emoji15] hataree sio kwa michambo yule!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] tufunge kwa kweli na km ndo yule mmama [emoji15] [emoji15] [emoji15] hataree sio kwa michambo yule!
Acha kucheka gen niko serious hivoooo.
Hebu ngoja niende kwa KP kwanza nione kama hajapost chochote.
 
Acha kucheka gen niko serious hivoooo.
Hebu ngoja niende kwa KP kwanza nione kama hajapost chochote.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nifah wewee!nenda uniambie mie kaniblock!!!
naskia anapost Ila so kama mwanzo!!!
 
Jamani natoa rai tufunge na kusali kumuombea mmbea mwenzetu KP asiwe ndio yeye aliyekamatwa.

Maana yeye pekee ndiye aliyeweza kuuangusha mbuyu ulioshindikanika Mange.

Mwenzangu yule mmama anayesema ndio KP...mhhhh!
sio yeye mange asingekubali .
halafu kp huwa yupo bongo kama huwa unamsoma vizuri
tena nadhani ni mmojawapo katika wale marafiki zake tena ukute ni mwamvita
maana anamjua haswa
halafu anaonekana ni msomi sio mtu mbumbumbu
 
sio yeye mange asingekubali .
halafu kp huwa yupo bongo kama huwa unamsoma vizuri
tena nadhani ni mmojawapo katika wale marafiki zake tena ukute ni mwamvita
maana anamjua haswa
halafu anaonekana ni msomi sio mtu mbumbumbu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzangu niliogopaje?Nikadhani mpenzi wangu wa roho KP keshakamatwa!
Ningeliaaaaaa [emoji24]

Yeah,KP kaenda shule,posts zake sio za kitoto.
Na hasa akiamua kuweka zile videos zake za kiingereza za zilizopendwa nachekaje?
KP Oyeeeeeee
 
kp kakublock kwa nini?
mimi huwa sicomment maana mange ataniblock mimi mtazamaji tu huku na kule
kaniblock nilikua nacomment kwa mange nkakosea nkatuma kwa KP nikachelewa kufuta kuhusu UKUTA
sio yeye mange asingekubali .
halafu kp huwa yupo bongo kama huwa unamsoma vizuri
tena nadhani ni mmojawapo katika wale marafiki zake tena ukute ni mwamvita
maana anamjua haswa
halafu anaonekana ni msomi sio mtu mbumbumbu
kweli eeeh?!!!mbona kasema ndo yule...?!!!
 
kweli eeehhh!!!
Kweliiiiiiii.
Dah,niliogopa sana.
Ila KP anadai yule dada anayedhalilishwa ni mtaratibu hana shida na mtu.
Hivi yule dada akifungua kesi ya kudhalilishwa itakuwaje?
 
Kweliiiiiiii.
Dah,niliogopa sana.
Ila KP anadai yule dada anayedhalilishwa ni mtaratibu hana shida na mtu.
Hivi yule dada akifungua kesi ya kudhalilishwa itakuwaje?
daaah!sijui itakuawaje?!maana mange anadai ndo yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…