Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Issue yenyewe iko hivi: Katika ugomvi wa Mange na Le Mutuz yote haya ni katika harakati za kurushiana makombora. Aliye kuwa mke wa Le Mutuz anae cousin yake anaeitwa Anita Magehema, Anita na huyo EmmaNkonoki walikulia chuo kikuu wote ni watoto wa maprofesa. Sasa Anita aligombana na Emma basi ndiyo vyote vimeingia kwenye ugomvi. Huku kugombana na kila mtu huku, hata adui yako humjui ni nani.
 
mimi nilikoment kwa kp mange akaniblock kumbe huwa anasoma maskini nilidhani hajali
Nimewahi kusikia Mange anamsoma KP sana kwa fekero.
Unadhani angekuwa hajali angehangaika hadi kumpeleka polisi?
Hukuona alivyosema alihangaika sana na wenye IG yao ili wampe taarifa za KP?
 
yaani mange shoga yetu alishaharibu akubali tu ukweli
 
Mhhhhhh kweli haya maugomvi yana mizizi mirefu sana.
Natamani tu kujua hatma ya Emma ndiye KP?
Sidhani bwanaaaa
 
Mhhhhhh kweli haya maugomvi yana mizizi mirefu sana.
Natamani tu kujua hatma ya Emma ndiye KP?
Sidhani bwanaaaa
Kweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.
 
Kweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.
sio yeye mange angeshaanika ukoowake wote
 
Kweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.
Hata mimi nilisikia Emma ni mpole sana hanaga neno na mtu.
Tusubiri tuone mwisho wake,Mange ataumbuka sana.
 
Lakini Mange mwenyewe amekuwa akijitutumua kuonesha mambo sio mabaya katika ndoa yao,japo ni dhahiri kwamba hakuna ndoa baina yao tena.
πŸ˜€πŸ˜€ Wazee wakunyapia nyapia mambo wamethibitisha. Naingojea hii Editorial Office ili ichapishwe kwenye Gazeti la
JF UBUYU.COM
 
πŸ˜€πŸ˜€ Wazee wakunyapia nyapia mambo wamethibitisha. Naingojea hii Editorial Office ili ichapishwe kwenye Gazeti la
JF UBUYU.COM
Hii habari niliileta kitambo wa kunitukana wakanitukana,Leo hii mambo yamekuwa dhahiri wamebaki na aibu.
 
Hii habari niliileta kitambo wa kunitukana wakanitukana,Leo hii mambo yamekuwa dhahiri wamebaki na aibu.
Wabongo ndivyo tulivyo yan Wabishi mpaka Tunajistukia. Basi team Mafisi kutokea JF UBUYU.COM tunayo Furaha kuwajulisha kwamba habari hii nayo itakuwepo katika Toleo lijalo.πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Nimekumbuka Mange alivyojidai ana picha zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe huna hata a/c fb?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sina hata acc na IG natumia fake ni uongo tuu!!kwanza hata kutumia sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…