ahahaaaKwanza IG hawakubali kutumia e-mail 1 kufungulia a/c zaidi ya 1.
Pili kama unafungua fekero ni bora utumie fekero mwanzo mwisho.
Si unajua tena just in case?
Nimewahi kusikia Mange anamsoma KP sana kwa fekero.mimi nilikoment kwa kp mange akaniblock kumbe huwa anasoma maskini nilidhani hajali
yaani mange shoga yetu alishaharibu akubali tu ukweliIssue yenyewe iko hivi: Katika ugomvi wa Mange na Le Mutuz yote haya ni katika harakati za kurushiana makombora. Aliye kuwa mke wa Le Mutuz anae cousin yake anaeitwa Anita Magehema, Anita na huyo EmmaNkonoki walikulia chuo kikuu wote ni watoto wa maprofesa. Sasa Anita aligombana na Emma basi ndiyo vyote vimeingia kwenye ugomvi. Huku kugombana na kila mtu huku, hata adui yako humjui ni nani.
Mhhhhhh kweli haya maugomvi yana mizizi mirefu sana.Issue yenyewe iko hivi: Katika ugomvi wa Mange na Le Mutuz yote haya ni katika harakati za kurushiana makombora. Aliye kuwa mke wa Le Mutuz anae cousin yake anaeitwa Anita Magehema, Anita na huyo EmmaNkonoki walikulia chuo kikuu wote ni watoto wa maprofesa. Sasa Anita aligombana na Emma basi ndiyo vyote vimeingia kwenye ugomvi. Huku kugombana na kila mtu huku, hata adui yako humjui ni nani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss sikuweziiiii [emoji119][emoji119]ahahaaa
email unafungua mama mdebwedo2016@gmail.com
ig acount unajiita debwelicious _baby
maisha yanasonga
Kweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.Mhhhhhh kweli haya maugomvi yana mizizi mirefu sana.
Natamani tu kujua hatma ya Emma ndiye KP?
Sidhani bwanaaaa
ngojeni nikaswali jamani Mola aniondolee adhabu ijumaa hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss sikuweziiiii [emoji119][emoji119]
sio yeye mange angeshaanika ukoowake woteKweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.
Hata mimi nilisikia Emma ni mpole sana hanaga neno na mtu.Kweli ni kheri kukaa na kusubiri tu, Anita na Emma wana maugomvi yao na Anita anahisi Emma alimchongea immigration sasa ni full mseto hata hujui usikilize lipi. Emma mbona ninasikia ni dada mlokole tena very decent.
ππ Wazee wakunyapia nyapia mambo wamethibitisha. Naingojea hii Editorial Office ili ichapishwe kwenye Gazeti laLakini Mange mwenyewe amekuwa akijitutumua kuonesha mambo sio mabaya katika ndoa yao,japo ni dhahiri kwamba hakuna ndoa baina yao tena.
naelekea kinondoni muslimu nimevaa kininjaUwiiiiiii kumbe leo ni Ijumaa?Umbea utaniua.
Hebu mie...twende zetu Miss.
Umbea upo tu.
Hii habari niliileta kitambo wa kunitukana wakanitukana,Leo hii mambo yamekuwa dhahiri wamebaki na aibu.ππ Wazee wakunyapia nyapia mambo wamethibitisha. Naingojea hii Editorial Office ili ichapishwe kwenye Gazeti la
JF UBUYU.COM
Wabongo ndivyo tulivyo yan Wabishi mpaka Tunajistukia. Basi team Mafisi kutokea JF UBUYU.COM tunayo Furaha kuwajulisha kwamba habari hii nayo itakuwepo katika Toleo lijalo.πππHii habari niliileta kitambo wa kunitukana wakanitukana,Leo hii mambo yamekuwa dhahiri wamebaki na aibu.
mpaka mange mwenyewe alikuja kukutukana ahahaa pole sanaHii habari niliileta kitambo wa kunitukana wakanitukana,Leo hii mambo yamekuwa dhahiri wamebaki na aibu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sina hata acc na IG natumia fake ni uongo tuu!!kwanza hata kutumia sijuiNimekumbuka Mange alivyojidai ana picha zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe huna hata a/c fb?
Nasikia JF ana fake ID kama karanga vile, atatetea uzi unaomhusu ukijua ni ki group cha watuππmpaka mange mwenyewe alikuja kukutukana ahahaa pole sana
hivi lara yupo wapi?
ahahaa anamtetea mange yule sijui ana share?Nasikia JF ana fake ID kama karanga vile, atatetea uzi unaomhusu ukijua ni ki group cha watuππ