Kumbe?Dollar 200 umekuwa mkorogo wa Zari?Ilikua body cream hyo alikua anasema inauzwa dollar 200 ukikaa kidogo obagi mara mdogo wangu wema nae anatumia obag kipindi kile kajibleach mwili
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Yuko kama mdoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shoga hata sikuwepo nahisi ubusy!!!??hebu niite nione!!Ulikuwa wapi shoga?Mbona Comment yake ipo kwenye huu uzi?
Alikuja akanichambaaaa na matusi juu.
Ngoja nitakutafutia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sijui shogangu yule nae biashara zinamshinda kama mie!kila kitu anafeli maana umbea umemzidi balaaa!!Watu hawakuungua?
Haachiki mtuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Wapi Bongolicious,Makeups,handbags sijui nini![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sijui shogangu yule nae biashara zinamshinda kama mie!kila kitu anafeli maana umbea umemzidi balaaa!!
Kwa milly nimeblockiwa na lemutuz na lulu [emoji23] [emoji23]mi pia jini mauti kaniblock nlicomment kwa mily wanasomaga Walee!
hata sijali mi mange sipendi aniblock japo simkubali Ila ana uandishi flani amazing!
Zari kwan anapaka mkorogo? si wanasemaga ndo ngozi yake afcast wa kihindiKumbe?Dollar 200 umekuwa mkorogo wa Zari?
Hivi ulionaga mkorogo waZari kipindi kile?
Hatari mama.
[emoji28][emoji28]Yuko kama mdoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha hii nayo kalimimi humu kwenye mitandao ni mifekero tupu hata whatsup linamba langu ni fekero
nina simu mbili
ya ukweli kuna wazazi ndugu na watu wa ofsini basi
wengine wooote wanakula fekero
Thubutuuuuuu!Mkorogo na filters juu.Zari kwan anapaka mkorogo? si wanasemaga ndo ngozi yake afcast wa kihindi
Aisee bas mkorogo wake classicThubutuuuuuu!Mkorogo na filters juu.
Ukitaka kumjua Zari subiri siku akienda ktk event halafu apigwe picha na watu wengine wazirushe Insta.
Hayupo bomba kama umuonavyo kwa page yake.
Oooh kwa insta pia aliandika sijafatiliaKweli humjui Mange.
Alichokiandika hapo ndivyo alivyokuwa akiandika kwa Insta page yake.
Yeah,alikuwa akisema hivyohivyo haachiki mtu.Oooh kwa insta pia aliandika sijafatilia