[emoji28][emoji28] nakumbuka kipindi unaweka huu ubuyu nilikua nasoma kwa nje sijawa member nasema uyu Nifah mbona anajiamini kuhusu talaka ya mange na mange anasema hajaachikaYeah,alikuwa akisema hivyohivyo haachiki mtu.
Uliona wapi Mpare akiachika?
Halafu akawa anadai tuweke uthibitisho maana Marekani huwa wanaweka talaka online.
Sijakaa sawa nikala ban,ila KP aliweka mambo kweupeeee few weeks later
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!Sitokaa nisahau ule ubuyu ulivyokuwa mtamu.
Kama sikupofuka macho kipindi kile kwa kushinda Insta sitokaa nipofuke tena.
Nina vyanzo vyangu 'vizito' vya habari.[emoji28][emoji28] nakumbuka kipindi unaweka huu ubuyu nilikua nasoma kwa nje sijawa member nasema uyu Nifah mbona anajiamini kuhusu talaka ya mange na mange anasema hajaachika
Salute Nifah [emoji8][emoji8]Nina vyanzo vyangu 'vizito' vya habari.
Hadi ukiona nimeleta habari humu ujue nina uhakika na nikiandikacho.
DAIMA HUWA SIDANGANYI!
Hivi wazungu huwa hawalogeki akamwendea upareniMwenzangu tungekomaje?Jamani kipindi cha Lance mahaba yalivyokuwa motomoto ilikuwa balaa.
Kila siku lunch/dinner mahotelini.
Mapicha ndio usisemeeeee.
Hosp aliyojifungulia Keanu ndiyo aliyojifungulia Kim Kardashian uwiiiiii!
Ndio tayari, sasa nakuja pm kuna kitu naomba unielekezeUmeshafunguaaaaaa?
unashindwa nini nikufungulie?Ndio tayari, sasa nakuja pm kuna kitu naomba unielekeze
nimerudi wambea wenzanguUmeshafunguaaaaaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss unanichekeshaga sana.nimerudi wambea wenzangu
anashindwa nini huyo na nilishampa hata email ya kutumia yaani nikikutajia id yangu ya insta utazimia hivi unakumbuka ila ya da linda ilifumaniwa ya vuzi pori? ahahaaSamahani,nilikuwa busy kidogo.
Sasa nimeona PM yako,nakujibu soon.
Thanks.
ahahaa you are a nice person too niffah lets enjoy the life my dear![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss unanichekeshaga sana.
Ipo siku nitakutafuta tupige story na umbea weeeee.
Nina hamu ya ule ubuyu wako uliotafuta mgane wakaja wazee....
Uwiiiiii huwa unanivunja mbavu sana.
BTW,tupo tunafanya countdown ya masaa...hilo bomu la KP litaniua mwenzenu!
Can't wait [emoji39][emoji39][emoji39]
karibu katika ulimwengu wa mafekeroAsanteeeee fekero juuuuuuuuuuuuu
Me nakupenda Miss Natafuta na Nifah mpk nimewafollow wallahahahaa you are a nice person too niffah lets enjoy the life my dear!
thanks for compliment ila najua wengi nawaboa humu wananichukia kweli
ahahaa thanks umeona royal birthday kwa mange?Me nakupenda Miss Natafuta na Nifah mpk nimewafollow wallah
Me nakupenda Miss Natafuta na Nifah mpk nimewafollow wallah