Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
hebu cheki vizuri bna nisipitwe mieJamani mnisamehe nilikuwa naserebuka Inde huku nachungulia kwa KP.[emoji12][emoji12]
Sadly hadi sasa hajaweka bomu part 2 [emoji20][emoji20]
Niliona juujuu kwa Zarimondaily sijui yule....
Aaaarrrggghhh nimeshasahau.
Ila zitasambaa tu mtaziona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana.Haahaaa, Nifah bana! eti mapichapicha, uwiii mange kiboko akaenda mpaka kumchongea mtoto jino la bandia kisa ana pengo eti anaogopa hawata mchukua, looh! katoto kameng'oa jino kanazibwa na la bandia huyu mama ni shidah!
ile ni berti ya dildo au ni kidonge cha kuweka kwa papuchi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana.
Menge kiboko aiseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiii Miss sikuwezi!ile ni berti ya dildo au ni kidonge cha kuweka kwa papuchi?
ahahaa sijui ni betri ile kumbe linachajiwa bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiii Miss sikuwezi!
Najua basi mama?
KP kasema ni dildo na mimi nimechukulia hivyohivyo.
Labda ni vile sijui hizo mambo sana.
ndo kusemaa!!Labda nikiachana na huyu wa sasa maana anaijua ID yangu na yupo humu.
[emoji24][emoji24][emoji24]
Lucky you darling,usijubali aijue,ni utumwa!
Ngoja nikaangalieJamani mnisamehe nilikuwa naserebuka Inde huku nachungulia kwa KP.[emoji12][emoji12]
Sadly hadi sasa hajaweka bomu part 2 [emoji20][emoji20]
Niliona juujuu kwa Zarimondaily sijui yule....
Aaaarrrggghhh nimeshasahau.
Ila zitasambaa tu mtaziona.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda nikiachana na huyu wa sasa maana anaijua ID yangu na yupo humu.
[emoji24][emoji24][emoji24]
Lucky you darling,usijubali aijue,ni utumwa!
Me mwnywe ata sijaelewa ila KP kasema inavibration uku chini [emoji28][emoji28]ile ni berti ya dildo au ni kidonge cha kuweka kwa papuchi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumekwisha jamani![emoji134][emoji134][emoji134]
Haahaaa shoga nilikuwa nakufuatilia tu kama umeaga kweli, umbea mtamu jamani mie nimejaza nyama maji tele ili isiungue leo wala siwazi habari ya ladha, looh! maskini msosi wa leo naona kama vile nieshaharibu kabla hata sijaivisha.Uwiiiiiiiiii jamani leo nitafanya kazi kama mambo yenyewe ndio haya?
Huu umbea itabidi mwanaume atakaenioa awe mvumilivu sana.
Asubuhi yote hii niko hapa/Insta kuzogoa umbea [emoji24][emoji24][emoji24]
Hebu mie nikaangalie umbea [emoji23][emoji23][emoji23]
Nifah, lile jino la bandia lilimuharibu mtoto au vipi mbona kenzo jino limegoma kuota? Maskini lance anajuta siku aliyotoka nje akakutana na mange.. model pengo limekuwa la kudumu?!Tumekwisha jamani![emoji134][emoji134][emoji134]
ahahaaa yaani asubuhi niliweka maji jikoni nikasema nisome kp hadi yakaisha yote kidogo sufuria liungue nilitaka kupika ujiHaahaaa shoga nilikuwa nakufuatilia tu kama umeaga kweli, umbea mtamu jamani mie nimejaza nyama maji tele ili isiungue leo wala siwazi habari ya ladha, looh! maskini msosi wa leo naona kama vile nieshaharibu kabla hata sijaivisha.
Hahaaaa, umenichekesha haswa, umbea mtamu jamani pole shoga.ahahaaa yaani asubuhi niliweka maji jikoni nikasema nisome kp hadi yakaisha yote kidogo sufuria liungue nilitaka kupika uji