Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui itakuwaje kwakweli.Imagine una majukumu ya familia huku KP anatupia mabomu kama haya.
Hee makubwa...nifah umeona sasa hivi kwa mange eti anajifanya katumiwa DM na shost gani sijui eti asiruhusu nyari kukaa karibu na wanae...basi kampaka mbayaaa madai asimchonganishe na ba kenzo..ptuuuu
 
KP hatumjui wala hana impact yeyote kwenye maisha kama huyu Kisebengo aliyedhalilisha watu, na kujiona ana class kumbe ana glass.
Huu ukweli Mange haujibu. Haha Ema ni victim kama victim wengine aliowahi kuwachafua. Kp sio relevant kwetu wala Habari za familia yake... we are interested na Habari za Mange. Kama ambavo yeye yupo interested na Habari za watu wengine.
After all alisema anaacha kufyatuka akili, Imekuwaje? Katekenywa kaharisha
 
Hee makubwa...nifah umeona sasa hivi kwa mange eti anajifanya katumiwa DM na shost gani sijui eti asiruhusu nyari kukaa karibu na wanae...basi kampaka mbayaaa madai asimchonganishe na ba kenzo..ptuuuu
Wekeni screenshots
Kumbe roho imemuuma eee[emoji12]
Hivi lazima details zote aweke public
 
kichwapanzioriginalHAYAAA HAYAAAAAAAAAA BOMU NO.1
MANGE UNAITWA HUKO UFANYE UPESI UKACHUKUE UCHAFU WAKO ULIOUSAHAU KWENYE GARI YA BWANA WA WATU. MADUDE MNATUMIA HAMYASAFISHI. SIKU MNAAMBIWA MRUDISHE MAGARI YA WATU MNATOA MAKOROKORO YENU HAYA MABOROBETRI MNAYASAHAU HUMO CHINI YA VITI PTUUUUUUUUUUUUU . KUJICHOKONOA VEPEEEEEE. .
ETI NINA BWANA KITAMBOO NYOOOO HUYU NDIO BWANAKO???MBONA MIEZI 2 HAMUONANI NA WALA HUMTAFUTI???NDIO USHANUNUA MWINGINE? ??
KUMBE WATU MNAENDESHA MAGARI HUKU MNAJICHOMEKA HIVI VINAWATEKENYA??


Shost amepewa lift akasahau dildo kwenye gari😀😀😀

Loooh. Kumbe wanajipa raha mpaka barabarani. Makubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe Mange alipewa lift kweli?
Nae kajibu mapigo kwa kusema KP kaachika sijui mama yake ana UKIMWI.
Post imedoraaaa...Mange kupambana na KP ni kuzidi kujidhalilisha tu.
Kila mtu anajua KP alishamtoa KO.

Noma sanaaaaaa
Nimegundua Mange ni short temper hawezi vumilia hata kidogo yaani Leo tu kashajibu mapigo!
 
Umenikumbusha drama za u-turn...
Kokugonza na ile Avatar yake...
Uwiiiiii ila kulikuwa na umbea kule balaa.
Ukitaka kupata habari za mujini unasoma comments tu.
Sasa hivi naona wamehamia Insta sijui?

LV ilikuwa mikwara tu,hakugawa wala nini [emoji16][emoji16][emoji16]
Asingeweza kugawa ile wakati ndoa ilikuwa inafikia ukingoni, nyingine anunue na nini?! Huyo mr. Rolex hawezi katu kumruhusu acheze na pesa yake.
 
Hivi mikataba na mapichapicha ya model Kenzo yaliishia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haahaaa, Nifah bana! eti mapichapicha, uwiii mange kiboko akaenda mpaka kumchongea mtoto jino la bandia kisa ana pengo eti anaogopa hawata mchukua, looh! katoto kameng'oa jino kanazibwa na la bandia huyu mama ni shidah!
 
Hee makubwa...nifah umeona sasa hivi kwa mange eti anajifanya katumiwa DM na shost gani sijui eti asiruhusu nyari kukaa karibu na wanae...basi kampaka mbayaaa madai asimchonganishe na ba kenzo..ptuuuu
Mwenzangu nimeona picha ya Kenzo na Nyari nimesisimkwaje?
Jamani inaumaaaa...jaribuni tu kuvaa viatu vya Mange.
Hatokaa awasahau Nyari na KP maisha yake yote [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ukweli Mange haujibu. Haha Ema ni victim kama victim wengine aliowahi kuwachafua. Kp sio relevant kwetu wala Habari za familia yake... we are interested na Habari za Mange. Kama ambavo yeye yupo interested na Habari za watu wengine.
After all alisema anaacha kufyatuka akili, Imekuwaje? Katekenywa kaharisha
Halafu kasema jana tu,hata siku haijaisha tayari keshaanza kuweweseka...Imagine!

Anajaribu kumuiga K-Lyn kuwa classy bila drama.Hatokaa aweze!
Mtu huna kazi kama kina sie,drama za mitandao unaachaje?
Akina K-Lyn wako busy na businesses, projects kibao.
Muda wa drama wanaupata wapi?
 
Mwenzangu nimeona picha ya Kenzo na Nyari nimesisimkwaje?
Jamani inaumaaaa...jaribuni tu kuvaa viatu vya Mange.
Hatokaa awasahau Nyari na KP maisha yake yote [emoji23][emoji23][emoji23]
wapi huko?
 
Mwenzangu nimeona picha ya Kenzo na Nyari nimesisimkwaje?
Jamani inaumaaaa...jaribuni tu kuvaa viatu vya Mange.
Hatokaa awasahau Nyari na KP maisha yake yote [emoji23][emoji23][emoji23]
umeona wapi hiyoo picha?
 
mimi nipo kama kajala ila nataka kuongeza chura wangu kidogo kidunchu nimeshindwa mazoezi hivi zile dawa za mitishamba za insta ni za kweli? ahahaa
Sasa kama upo kama kajara chura anatosha mambo ayo tuongee sisi vimbau mbau
 
Uwiiiiiiiiii jamani leo nitafanya kazi kama mambo yenyewe ndio haya?
Huu umbea itabidi mwanaume atakaenioa awe mvumilivu sana.
Asubuhi yote hii niko hapa/Insta kuzogoa umbea [emoji24][emoji24][emoji24]

Hebu mie nikaangalie umbea [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]inabd ufanye siri asijue kama mm apa
 
wapi huko?
Jamani mnisamehe nilikuwa naserebuka Inde huku nachungulia kwa KP.[emoji12][emoji12]
Sadly hadi sasa hajaweka bomu part 2 [emoji20][emoji20]
Niliona juujuu kwa Zarimondaily sijui yule....
Aaaarrrggghhh nimeshasahau.
Ila zitasambaa tu mtaziona.
umeona wapi hiyoo picha?
 
Back
Top Bottom