Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

naona picha wanafanana?
kipindi cha usichana walikuwa mashosti na mange walikuwa wanakula bata mapoja wanaunganishiana mabuzi nini sema mange si unajua marafiki zake ndo maadui zake? ndo hivo wanajuana wale
Wakiamua kuvuana nguo wanavuana ndo madada wa mjini tena
 
Wakiamua kuvuana nguo wanavuana ndo madada wa mjini tena
ila rachel nampenda kitu kimoja yupo real unajua kwa nini alianza ugomvi wake mapema tu na mange na mange angejirekebisha enzi zile angekuwa salama chain isingekuwa kubwa
rachel alikuwaga anamponda hana kitu sijui ka rachel kalijuaje aisee mange akajifanya kumchamba kweli oooh hajaolewa sijui mimi tajiri sasa ukweli umejulikana alifanya mabeef na mdada wa watu na ndugu zake ili iweje ?
 
Mtoto anarangi yetu sisi waafrika bwana tena super tall kama Frank Machozi.
Na Ile sura? Pua [emoji28]mdomo[emoji28]Afu anamwita flora baboon wakati baboon ambaye kwake[emoji23] [emoji23]
 
ila rachel nampenda kitu kimoja yupo real unajua kwa nini alianza ugomvi wake mapema tu na mange na mange angejirekebisha enzi zile angekuwa salama chain isingekuwa kubwa
rachel alikuwaga anamponda hana kitu sijui ka rachel kalijuaje aisee mange akajifanya kumchamba kweli oooh hajaolewa sijui mimi tajiri sasa ukweli umejulikana alifanya mabeef na mdada wa watu na ndugu zake ili iweje ?
Pole yake mange sa nyingne unamuonea huruma
 
Pole yake mange sa nyingne unamuonea huruma
sana ujue kama angeendelea na ile blog yake kwa adabu angekuwa bilionea eti
alikuwa na chanel kibao za biashara
fursa zilikuwa nje nje
akatukana wakunga
mfano alipofika marekani angekaa na dada linda wangeuza sana nguo huku akaanza nae bifu eti na yeye anataka kushona kaenda hadi chuo cha wazungu teh teh
huku bongo angeweza kuingia partner na kiki au shamim wafungue masaloon au mabotique ya hatare akajifanya anafungua la kuwazidi wenzie na kuwatukana matokeo yake duka kaibiwa hela yote kafunga hajapata chochote kiki anaongeza maduka kila mwaka
voda kwa mwamvita alikuwa nalamba hela ndefu katukana mkunga wakati ana mimba teh teh
yaani kalogwa yule
 
Nyari is a grown up woman.
Hakuna malaika wakubwa? Akina Gabriel watoto?
Yote juu ya yote, Mange hana haki ya kumwita mtu mbaya wakati mtoto wake malaika Bhoke sio mzuri wa sura, kama nyari, so etiii[emoji23]
 
mimi nipo kama kajala ila nataka kuongeza chura wangu kidogo kidunchu nimeshindwa mazoezi hivi zile dawa za mitishamba za insta ni za kweli? ahahaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] don't dare to use those herbals!!
 
Back
Top Bottom