Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Screenshot_2016-09-03-20-26-27.png
mwisho wa dunia umefika uyo mdada jamaani
 
Oooh kumbe bas unaelekea vizur me kwa kweli namshkuru Mungu nilipata mkristo mwenzangu na tukaingia kanisani nakuombe hitaji la moyo wako mpenzi Mungu atajibu tu amwombae Mungu hachoki
amen inshalah dear ila kila kitu kipo undercontrol mamy ujue huku jf sio kila kitu tupo serias
 
amen inshalah dear ila kila kitu kipo undercontrol mamy ujue huku jf sio kila kitu tupo serias
Yeah ni kweli ata mm si unaonga najichetuaga kwenye comment [emoji28][emoji28]mume mwnywe hajui kama nipo uku nilishamwambiaga kuhusu kutaka kujiunga akanibalasa nikasema hanijui mm kama mtto wa mjini ntajiunga asijue
 
Yeah ni kweli ata mm si unaonga najichetuaga kwenye comment [emoji28][emoji28]mume mwnywe hajui kama nipo uku nilishamwambiaga kuhusu kutaka kujiunga akanibalasa nikasema hanijui mm kama mtto wa mjini ntajiunga asijue
ahahaa na yeye yupo humu ?
 
Yeah ni kweli ata mm si unaonga najichetuaga kwenye comment [emoji28][emoji28]mume mwnywe hajui kama nipo uku nilishamwambiaga kuhusu kutaka kujiunga akanibalasa nikasema hanijui mm kama mtto wa mjini ntajiunga asijue
yaani ulivo mtu atajua katoto ka shule haka huoneshi hata una family? ahahaa
 
ahahaa na yeye yupo humu ?
Walaah hayupo nilikua mpenz wa JF sana kabla sijawa member nikawa nampa habar za uku ananiambia nzr namwambia sana nikamwambia nijiunge niwe member kabisa weeeh alivyofoka umember wa nini kama habar si unapata
 
Halaf ata mm sijui kwa nn namuhisig ni rachel dada anachamba yulee
naona picha wanafanana?
kipindi cha usichana walikuwa mashosti na mange walikuwa wanakula bata pamoja wanaunganishiana mabuzi nini sema mange si unajua marafiki zake ndo maadui zake? ndo hivo wanajuana wale
 
Back
Top Bottom