Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Tudogo hivi wanashibaga kweli
mimi hata najua mambo ya wazungu shogangu ? labda utumbo wao mdogo kama wa mtoto naskia huwa wanaupunguza ili wasinenepe.si ulisikia hata kina nacky wamejilipua ? utakuwa unakunywa maziwa nusu kikombe ,viuji ,kama mtoto mchanga vile.
sisi wenye mautumbo yetu mtu akupeleke out akununulie kale kanyama kabichi si utakuja kumwanzishia uzi umu mwaka mzima?
 
mimi hata najua mambo ya wazungu shogangu ? labda utumbo wao mdogo kama wa mtoto naskia huwa wanaupunguza ili wasinenepe.si ulisikia hata kina nacky wamejilipua ? utakuwa unakunywa maziwa nusu kikombe ,viuji ,kama mtoto mchanga vile.
sisi wenye mautumbo yetu mtu akupeleke out akununulie kale kanyama kabichi si utakuja kumwanzishia uzi umu mwaka mzima?
[emoji28][emoji28][emoji28]me na uroho wangu kitaishia kwenye meno jamaan wakina nacky wamekua wembamba yote kutaka urembo
 
ahahaa halafu ni kweli zile nyama anawekaga si unazijua?
Yeah,nazijua.
Tena kuna siku aliweka akisema babu Rolex kamgawia yake....

Hivi unakumbuka ile steak aliyosema inauzwa Dollar 200 enzi za baba Kenzo?
Akasema hatoenda toi siku 3 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi hata najua mambo ya wazungu shogangu ? labda utumbo wao mdogo kama wa mtoto naskia huwa wanaupunguza ili wasinenepe.si ulisikia hata kina nacky wamejilipua ? utakuwa unakunywa maziwa nusu kikombe ,viuji ,kama mtoto mchanga vile.
sisi wenye mautumbo yetu mtu akupeleke out akununulie kale kanyama kabichi si utakuja kumwanzishia uzi umu mwaka mzima?
[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ninavyopenda nyama kuninunulia kile kimshikaki ni kunitukana tu.
 
shunie do the needful pls!
Tunasubiri screenshots [emoji4][emoji39]
14240916_302814816746104_1849953843_n-jpg.393037
 
Na kukomaa je anafanya mazoezi ya kunyanyua mavyuma
ahahaa hujawai mcheki vizuri hata mimi nilikuwa namuonaga mbaya
ila nilivokuja kumsoma mwenyewe kimyaa kama mange
unadhani kwanini mange alifyata pale?
 
Sura ya mtoto wa kike wa Mange aitwae Bhoke umeiona lakin au H ujui sura mbovu? [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani bhoke Mungu anisamehe tu.
Huwa najaribu hata kujidanganya ni mzuri nashindwa kabisa [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom