Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

umeisomea wp??nitumie km unaweza
Asante sana mpendwa wangu @ffg kwa uzuri tu kwa kuwa haina contents za maadili sitaweza kuiweka hapa. Ni kama vile na mimi ninashiriki kuanika ubaya au mabaya ya huyu mama. Ukweli ni kwamba kama kweli shoga yake alitumika katika kusambaza basi hata kilio cha watoto wa Mange cha kuishi bila wazazi wote nacho kitampata. Ukweli inatakiwa ukiwa na hiyo email iwe tu ni private hata kwa hapa. Sema binadamu tuko dhaifu sana katika kutunza siri za wenzetu na tunabaki kushabikia tu.
 
Bahati mbaya sijui sana mambo ya tag ila ukweli sitapenda kuiweka hapa. Kila mtu aitafute peke yake private kwa kuwa siamini kutunza siri ndiyo maana za Mange zikatoka nje.
noo problem I can understand u!!
 
poa poaa...nmekuelewa
 
muambie aitafute tatizo watu wanaishabikia the way mange anavyoshabikia ya wenzie tena ya siri kabisa that's why!but to be honest sio nzuri ile email in one way or another imemuumiza sana na inamuumiza mange
 
muambie aitafute tatizo watu wanaishabikia the way mange anavyoshabikia ya wenzie tena ya siri kabisa that's why!but to be honest sio nzuri ile email in one way or another imemuumiza sana na inamuumiza mange
Sure mkuu yaani nimesikitika sana. Sikuwa nimeiona hata kidogo. Nilipoingia leo thread hii nikaona wanazungumzia email ikabidi nitumie technology niipate. Yaani nimesoma na kurudia tena then nikajiuliza inakuwaje mtu ana expose maisha yake kiasi kile? Jua mambo ya mtandao mtu anaweza hack na ukapata shida pia na mwishowe wakiona ni nyeti ndiyo wanakutoa hela ili wasi blackmail. Nimejiimarisha zaidi kupitia sakata hili kumbe email imeletea talaka ya kufa mtu. So sad again Mange Kimambi.
 
ila mange nae alivujisha ya mwamvita toka kwa rostam aziz
 
ila mange nae alivujisha ya mwamvita toka kwa rostam aziz
Halo my Miss Natafuta kumbe walikuwa wanakomoana? Ya Rostam ilikuwaje tena na Mwamvita? Si unaona nimesema kabisa mambo ya ushoga mara ushostito ni kuachana nayo kabisa hayana tija katika maisha. Shoga awe wa maendeleo tu kumuuliza jinsi ya kupata clean money na ukishazipata pia hutakiwi kuwa mkweli wa hela na mali zako. Watu achana nao kabisa ni hatari mno.
 
ngoja niitafute
mwamvita sio alieilikisha
mume wa mange aliifuma
akaituma bongo kwa mume wa kiki amtafsirie
kiki ndo alieisambaza
 
ngoja niitafute
mwamvita sio alieilikisha
mume wa mange aliifuma
akaituma bongo kwa mume wa kiki amtafsirie
kiki ndo alieisambaza
Duuu Kiki kweli walikuwa na mtifuano na Mange Kimambi na walikuwa ni Mashoga kwelikweli. Yaani sipati picha hizi hakika.
 
Duuu Kiki kweli walikuwa na mtifuano na Mange Kimambi na walikuwa ni Mashoga kwelikweli. Yaani sipati picha hizi hakika.
ushawai kuona mtu anagombana na matroni wake ndoa haina hata mwaka? ahahaaa mange jamani??
 
Kweli kabisa
 
alikua anadate nae kama sikosei!
ushoga kama ule hapana kwa kweli!

Kuharibiana maisha kwa kweli

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…