Eti uchungu, hawakuhusu na nani kakuambia wana shida kama sio umbeya tuu ? au mlitaka akae kwenye ndoa mbovu kama mlivyozoea waswahili kwa ajili ya njaa zenu, sanasana atalipwa zaidi na kupata mwananume mwingine wa maana zaidi, acha awatukane tuu maana ndio mnachopenda na ndio sababu maelfu mnamfuatilia mitandaoni and in a serious note huyu dada ni celebrity kweli kweli angekuwa na akili na maelfu ya wanaomsoma she could make millions kwa sababu ana thousand of followers/hits kwenye blog yake, na mkubali wengine wamepewa umaarufu kwa ajiri wametukanwa na huyu dada, she needs to up her game sio kutukana tuu make money sasa maana watu wanapenda gossip sana na ni very addictive