Taliban baada ya kuistuwa dunia kwa kumchapa Mmarekani Sasa wameistuwa dunia ya Magari

Taliban baada ya kuistuwa dunia kwa kumchapa Mmarekani Sasa wameistuwa dunia ya Magari

" it's powered by MODIFIED Toyota Corolla engine " mwisho wa kunukuu. Nikajua mpaka engine wamesuka wao kumbe wameiba kwa kina takashi Inui
 
💪🏾💪🏾

Hii ndio namna ya kumkabili Mzungu.
Wachina wameweza sasa hawa nao wakikazana wataweza
Waweze mara ngapi?

Kitu unataka hicho unawapa order tu wanakupatia.


Hao siyo wenzako, washapigana na nguvu zote kubwa za dunia kivita na wamezishinda.

Zqlamani huko walimtandika Muingereza mpaka akatia adabu. Wakaja warusi wakatwangwa.

Mmarekani nae kachapwa mpaka katoka nduki, yeye na mashoga zake wote wa NATO.

Hiyo namba ione kwa mbali tu. Vichwa vya ajabu hivyo.
 
Waweze mara ngapi?

Kitu unataka hicho unawapa order tu wanakupatia.


Hao siyo wenzako, washapigana na nguvu zote kubwa za dunia kivita na wamezishinda.

Zqlamani huko walimtandika Muingereza mpaka akatia adabu. Wakaja warusi wakatwangwa.

Mmarekani nae kachapwa mpaka katoka nduki, yeye na mashoga zake wote wa NATO.

Hiyo namba ione kwa mbali tu. Vichwa vya ajabu hivyo.
Na waarabu wa pemba wakatwangwa
 
Magaidi wanateka wataalam wa nchi nyingine na kuwalazimisha kufanya kazi za ubunifu maana yenyewe hayajasoma.
 
Bado wana s
Screenshot_20231227-165936_X.jpg
afari ndefu sana ya kufikia mafanikio
 
Bado wana sView attachment 2854758afari ndefu sana ya kufikia mafanikio
Unafahamu hao wamekaa kwenye vita kwa miaka mingapi na wamepigana na nchi ipi?

Tanzania tushukuru Kikwete Mwenyezi Mungu alimpa akili akatuokowa kwa kampeni za vituo vya afya na kufyatua wanafunzi wa udaktari, alisema tutajuwana hukohuko mbele kwa mbele.

Hatujawa wazuri kihivyo lakini ilitusaidia, tulikuwa tunakufa kama bata.

Waafghani nawaaminia tatizo hilo ni la kupita tu, athari za vita ya kuonewa ya muda mrefu.
 
Kiboko ya Mmarekani wanaionesha dunia kuwa kumchapa Mmarekani haaikuwa kibahati, wana uwezo:

View attachment 2845347
Unawashwa bibie, Taliban walikuwepo hata kabla ya Marekani kuivamia na kuukalia kwa mabavu Afghanstan yako hiyo but uchumi wao ulikuwa wapi???

Waislam mnawashwa sana, wewe hapo ulipo umekalia kudanga tu ndo usukume maisha, hayo mahaba yako kwa wengine ambao hawana msaada hata kwako na ulivopauka hadi ndani huko, si bora ushirikiane na serikali ya mtaa wako japo kuiletea hta taifa maendeleo???
 
Hilo ni Jambo la kawaida Kwa ubunifu.
Rezvan tank ni gari Bora lenye thamani kubwa Zaid ya$300k na limebuniwa na mmarekani mwenye asili ya Iran.
 
Back
Top Bottom