Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waweze mara ngapi?💪🏾💪🏾
Hii ndio namna ya kumkabili Mzungu.
Wachina wameweza sasa hawa nao wakikazana wataweza
Na waarabu wa pemba wakatwangwaWaweze mara ngapi?
Kitu unataka hicho unawapa order tu wanakupatia.
Hao siyo wenzako, washapigana na nguvu zote kubwa za dunia kivita na wamezishinda.
Zqlamani huko walimtandika Muingereza mpaka akatia adabu. Wakaja warusi wakatwangwa.
Mmarekani nae kachapwa mpaka katoka nduki, yeye na mashoga zake wote wa NATO.
Hiyo namba ione kwa mbali tu. Vichwa vya ajabu hivyo.
😅 😅 😅zeee lisilo na akili.
ungemdanganya wewe mfuasi wa Mud then kila siku unamsalimia samaleko. ungejilia kiroho safi sana.😅 😅 😅
Huyu mama nimewahi kumtongoza mwanzoni, kumbe dishi lake limeyumba
Hongera zao Afghanistan, wanastahili, kwa Tanzania mpaka tufike huko mhhhh!! Ni ndoto 😄Supercar Simurgh ya Afghanistan yaishtua sekta ya magari Duniani.
Sina haja ya kusema memngi jonee mwenyewe:
View attachment 2845341
Unafahamu hao wamekaa kwenye vita kwa miaka mingapi na wamepigana na nchi ipi?Bado wana sView attachment 2854758afari ndefu sana ya kufikia mafanikio
Unawashwa bibie, Taliban walikuwepo hata kabla ya Marekani kuivamia na kuukalia kwa mabavu Afghanstan yako hiyo but uchumi wao ulikuwa wapi???Kiboko ya Mmarekani wanaionesha dunia kuwa kumchapa Mmarekani haaikuwa kibahati, wana uwezo:
View attachment 2845347
So what??Supercar Simurgh ya Afghanistan yaishtua sekta ya magari Duniani.
Sina haja ya kusema memngi jonee mwenyewe:
View attachment 2845341