Taliban huenda ikawa na utawala bora kuliko wa zamani

Taliban huenda ikawa na utawala bora kuliko wa zamani

mulwanaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
5,262
Reaction score
12,855
Jana wana Mgambo wa Kitalabani waliitisha kikao chao cha kwanza na waandishi wa habari wa kimataifa kueleza jinsi watakavo uongoza serikali yao. katika vitu muhumu walivyo sema ni:

1. Utawaala wao uta heshimu haki za wanawake na watakua huru kuendana na sharia za Dini yao

2. Uhuru wa Vyombo vya habari utakuepo kwa kila mtu, bila kuathiri masilahi ya taifa lao

3. Hawatalipiza visasi kwa mtu yoyote, kwahiyo wamesamehe viongozi wote wa zamani

4. Afaghanisitani haita toa hifadhi ya waasi wowote kupigana na nchi nyingine.

5. Nchi ya Afaghanisitan haitaruhusu uuzaji wa narcotics (UNGA)

20210818_081032.jpg
 
Taliban kutoka kwenye mahandaki ya torabola mpaka ikulu tena mnyamwezi anatuchezea akili, hapo ni kama kuna makubaliano nyuma ya pazia ngoja tuvute subra tutajua ukweli.
 
Sera hizo kuu 5 ndizo walizokuwa Nazi huko zamani. Ubora wa utawala wa taleban utategemea na Sera za nchi za kumagharibi kutoingilia utamaduni wa waafghani.

Utamaduni unaowapa Uhuru mdogo wanawake kufanya kila wanavyohisi vivhwani mwao. Hivyo usitegemee vigodoro, kamba moja, casino kuruhusiwa ktk utawalawa wa wataleban.

Watz ambao kwa kiasi kikubwa wamelisha propaganda nyingi wakihusishwa na utatili, uuwaji, ubakaji, uchinjaji kwa kundi la watalaban watajifunza mengi kutoka na utawalawa halisi wsheria za mola kutoka kwa talaban.
 
Back
Top Bottom