Taliban waiga mbinu za JWTZ za mwaka 1979

Taliban waiga mbinu za JWTZ za mwaka 1979

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
Mwaka 1979 Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) liliuchukua mji wa Kampala na rais wake Dikteta Fashisti Nduli Idd Amin Dada akakimbia nchi na wanajeshi wote wa Uganda kwa unafiki wakaungana na JWTZ kushangilia ushindi.

Mwaka huu 2021 kwa style ile ile Taliban wamechukua jiji la Kabul, Rais kakimbia na wanajeshi wamejisalimisha.

Funzo: Taliban waache kukopi na kupesti mbinu za Jeshi letu.
 
Mwaka 1979 Jeshi la Wananchi Tanzania ( JWTZ) liliuchukua mji wa Kampala na rais wake Dikteta Fashisti Nduli Idd Amin Dada akakimbia nchi na wanajeshi wote wa Uganda kwa unafiki wakaungana na JWTZ kushangilia ushindi.

Mwaka huu 2021 kwa style ile ile Taliban wamechukua jiji la Kabul, Rais kakimbia na wanajeshi wamejisalimisha.

Funzo: Taliban waache kukopi na kupesti mbinu za Jeshi letu.
Weye endelea tu kucheza madogoli na kulinganisha JWTZ na Taliban.
 
Umemeza dawa? Muda umefika
FB_IMG_16275459506042742.jpg
 
Vijana wa dot com ukiwatajia Sarakikya au Msuguri hawamjui.
Labda Gen. Mboma ndio wanamjua kwa mbali.

Mboma bado wa zamani...

Kuna raia hapa JF wamezaliwa wakati Gen Robert Mboma akiwa kashastaafu...
 
Mwaka 1979 Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) liliuchukua mji wa Kampala na rais wake Dikteta Fashisti Nduli Idd Amin Dada akakimbia nchi na wanajeshi wote wa Uganda kwa unafiki wakaungana na JWTZ kushangilia ushindi.

Mwaka huu 2021 kwa style ile ile Taliban wamechukua jiji la Kabul, Rais kakimbia na wanajeshi wamejisalimisha.

Funzo: Taliban waache kukopi na kupesti mbinu za Jeshi letu.
Haina shida kukopi kikubwa wazingatie utawala wa sheria ili siku zajazo waondolewe kwenye orodha ya magaidi na kufadhili ugaidi ksma ambavyo tunavyoambiwa na Nchi za Magharibi.
 
Back
Top Bottom