Taliban waiga mbinu za JWTZ za mwaka 1979

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
Mwaka 1979 Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) liliuchukua mji wa Kampala na rais wake Dikteta Fashisti Nduli Idd Amin Dada akakimbia nchi na wanajeshi wote wa Uganda kwa unafiki wakaungana na JWTZ kushangilia ushindi.

Mwaka huu 2021 kwa style ile ile Taliban wamechukua jiji la Kabul, Rais kakimbia na wanajeshi wamejisalimisha.

Funzo: Taliban waache kukopi na kupesti mbinu za Jeshi letu.
 
Weye endelea tu kucheza madogoli na kulinganisha JWTZ na Taliban.
 
Sasa chadema wajaribu kutikisa kiberiti adabu ziwakae
 
Vijana wa dot com ukiwatajia Sarakikya au Msuguri hawamjui.
Labda Gen. Mboma ndio wanamjua kwa mbali.

Mboma bado wa zamani...

Kuna raia hapa JF wamezaliwa wakati Gen Robert Mboma akiwa kashastaafu...
 
Jiwe angekuwa hai vijana wa ccm wangeandamana kumpongeza jiwe, Kwa talebani kuchukua Afghanistan.
 
Usifananishe Jwtz na wale washenzi magaidi waliojaa laana
 
Haina shida kukopi kikubwa wazingatie utawala wa sheria ili siku zajazo waondolewe kwenye orodha ya magaidi na kufadhili ugaidi ksma ambavyo tunavyoambiwa na Nchi za Magharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…