PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Wale watu Wana ukaribu Sana na shetani kuliko MUNGUShida ya watu wa hizi imani ni kwamba fikra zote ziko kwenye mambo ya ngono. Hivi mbona mimi akili yangu hainitumi kutilia maanani kwamba mwanamke fulani amevaaje maanake akili yangu iko bize kiasi kwamba sina muda wa kuwaza mambo ya mavazi ya watu.
Tanzania hatuwezi kuwa na hizi sheria za kipumbavu unashindwa kuwaza utaishije unakaa kuchunguza wanawake wanavaaje mavazi.
Yaani mwanaume ukisikia hata sauti tu ya mwanamke tayari umeshaamsha. Very stupid.
Kwani magaidi wenzao wa jamii forum yanasemaje?Shida ya watu wa hizi imani ni kwamba fikra zote ziko kwenye mambo ya ngono. Hivi mbona mimi akili yangu hainitumi kutilia maanani kwamba mwanamke fulani amevaaje maanake akili yangu iko bize kiasi kwamba sina muda wa kuwaza mambo ya mavazi ya watu.
Tanzania hatuwezi kuwa na hizi sheria za kipumbavu unashindwa kuwaza utaishije unakaa kuchunguza wanawake wanavaaje mavazi.
Yaani mwanaume ukisikia hata sauti tu ya mwanamke tayari umeshaamsha. Very stupid.
Ngoja kije kigagula chao Faiza fox, kingekuwa huko hata simu kisingeshikaKwani magaidi wenzao wa jamii forum yanasemaje?
mmh sio kwamba ashahamia muda tu?kapotea humu. mFaiza fox hamia Kwa wenzako Taleban unaowasifia Kila siku
Hapo inadhihirisha kwa mujibu wa Taliban kwamba, kuzaliwa mwanamke ndani ya dini hiyo ni laana ama kifungoTaliban imepiga marufuku wasichana kupiga simu redion
✍🏻Kwamba wana hamsha ari za wanaume na kuwafanya wawaze ngono
✍🏻Inawaondoa wanaume kwenye mood wawapo kazini
✍🏻Kwamba dini ya Kiislamu si kwamba hairuhusu maumbile tu ya mwanamke kuonekana, Bali hata Sauti ya Kuvutia inamfanya Mwanaume kuzini kupitia hisia
✍🏻 watawala wapendekeza hapo baadae mwanamke asimiliki simu kabisa !
Nini maoni yako juu ya hili ije na Tanzania ?
Yale magaidi ya kilosa yanasoma tu hizi comment na kusonya halafu yanapita kule. Ingekuwa inahusu Magaidi ya Hamas au Houthi yangekujazia inziHapo inadhihirisha kwa mujibu wa Taliban kwamba, kuzaliwa mwanamke ndani ya dini hiyo ni laana ama kifungo
huwezi ukaweka restrictions za kipuuzi eti kulinda wapuuzi wasio na soni wala utu kwamba hisia zao zina thamani kuliko utu ama ubinadamu kwa wanadamu wengine.
Nguvu zenyewe za kiume hunaShida ya watu wa hizi imani ni kwamba fikra zote ziko kwenye mambo ya ngono. Hivi mbona mimi akili yangu hainitumi kutilia maanani kwamba mwanamke fulani amevaaje maanake akili yangu iko bize kiasi kwamba sina muda wa kuwaza mambo ya mavazi ya watu.
Tanzania hatuwezi kuwa na hizi sheria za kipumbavu unashindwa kuwaza utaishije unakaa kuchunguza wanawake wanavaaje mavazi.
Yaani mwanaume ukisikia hata sauti tu ya mwanamke tayari umeshaamsha. Very stupid.
Kupiga simu redioni ili iweje 😁😁😁kutafuta wanaume .
Uchumi umeongezdka hata biblia inasema mwabamke hatakiwi hata kuuliza swali kanisani
View: https://twitter.com/GlobeEyeNews/status/1762352454555812327?s=19