Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Kupiga simu redioni ili iweje 😁😁😁kutafuta wanaume .
Mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga simu redioni ili iweje 😁😁😁kutafuta wanaume .
Mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu .
😅😅😅Katuni hizo
Kha!!! mungu wanguKupiga simu redioni ili iweje 😁😁😁kutafuta wanaume .
Mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu .
Taliban imepiga marufuku wasichana kupiga simu redion
[emoji1593]Kwamba wana hamsha ari za wanaume na kuwafanya wawaze ngono
[emoji1593]Inawaondoa wanaume kwenye mood wawapo kazini
[emoji1593]Kwamba dini ya Kiislamu si kwamba hairuhusu maumbile tu ya mwanamke kuonekana, Bali hata Sauti ya Kuvutia inamfanya Mwanaume kuzini kupitia hisia
[emoji1593] watawala wapendekeza hapo baadae mwanamke asimiliki simu kabisa !
Nini maoni yako juu ya hili ije na Tanzania ?
Sijaelewa! Hao jamaa hapa juu hawataki kusikia kitu inaitwa ubongo?
Yaàni huna kitu kichwani! Eti mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu.Kupiga simu redioni ili iweje 😁😁😁kutafuta wanaume .
Mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu .
Mwanamke hataki kuuliza swali kanisani,hii ndio biblia .Yaàni huna kitu kichwani! Eti mambo ya kupiga simu ni ya kizamani mfumo wa wazungu.
Mfumo wa waarabu ni upi unaoufuata wewe? Pumbavu sana kusapoti ujinga wa hao waislam.
🤣😁Ngoja kije kigagula chao Faiza fox, kingekuwa huko hata simu kisingeshika
Gaidi Grace Mushi anaenda kunyongwa huko😅
Vipi, mbona unanitag?
Kwsb Wewe ni gaidiVipi, mbona unanitag?