Hii ni chai ya kibena.Trump alimchimba mkwara kiongozi wa Taliban wakiwa kwenye kikao alimpa karatasi inaonyesha sehemu familia yake inaishi, Akaondoka kwenye kikaoni bila kuongea cha ziada, kwa miezi 18 mfululizo mpaka anapoachia ngazi, Taliban hawakuthubutu kuua wala kumgusa mwanajeshi wa Marekani"
Kuelewana gani kule babu!!?..mpaka serikali kibaraka ilikimbia hovyo, marekani yenyewe acha silaha za $80b na wakikimbia hovyo kuondoka,pigana mabomuKwanini umeamua kuwa mwongo?
Talebani walifanya mazungumzo na marekani wakakubaliana kuachiwa nchi yao.
Marekani hakukimbia,walielewana.
Acha Uongo.
Propaganda za mashetani hizo, hakuna mwanamke aliye huru zaidi ya nwanamke wa Kiislam.Je, wewe binafsi unafurahia Utawala wa kidhalimu wa Hawa Watu ambao wamewapiga marufuku kabisa Wanawake wenzako huko Afghanistan wasifanye kazi yoyote ile zaidi ya kukaa ndani tu usiku kucha na mchana kutwa??
Unaonaje ukaishi huko Afghanistan dada yangu kipenziPropaganda za nashetani hizo, hakuna mwanamke aliye huru zaidi ya nwanamke wa Kiislam.
Au mwanamke kutembea uchi au nusu uvhi kwenu ndio yupo huru? Huyo ni huriani sio huru.
Shule za sekondari za wasichana zimefungwa mpaka sasa. Wanaruhusiwa kusoma masomo ya dini tu sijui ni kweli?Propaganda za nashetani hizo, hakuna mwanamke aliye huru zaidi ya nwanamke wa Kiislam.
Au mwanamke kutembea uchi au nusu uvhi kwenu ndio yupo huru? Huyo ni huriani sio huru.
Pakistan ndio walikuwa wafadhili wa Taliban, ilikuwaje akauawa nchini kwao?Pakistan
Takbirrrrrrrrrr
Pale Marekani ilitupiga na ktk ile operation waliotajwa kushiriki wote walianza kupotezwa ( Nahisi ilikuficha siri zaidi).Walivyotangaza Wamarekani ni Pakistan, Lakini ukweli ni kuwa Osama alishakufa kwa amri ya Mungu siku nyingi, Wamarekani wakatumia advantage ku act kama wamempata. Ulisikia wapi mtu anatolewa nchi kavu kwenda kuzikwa baharini?
Wamarekani waongo sana.
Sana! Tatizo madrasaUna uelewa mdogo sana wewe mtu.
Wamarekani wangeupinga uislamu wangepiga marufuku misikiti kujengwaPale Marekani ilitupiga na ktk ile operation waliotajwa kushiriki wote walianza kupotezwa ( Nahisi ilikuficha siri zaidi).
Hakuna aliye wasumbua Marekani kama Osama, kwa hali hiyo wangemdhalilisha sanaaa, kama Walivyo fanya kwa Sadam Hussein, camera kuanzia walivyomtoa pangoni na process zote za mahakamani hadi Kunyonga.
Osama wakasem waliweka siri kwa sababu za dini yake ambayo wao wanaipinga🤣.
Obama alicheza game ya kitoto sana.
Bonge moja la story ila Lina uwongo ndani yake ? Hicho kikao cha trump na Taliban ni uwongo cjui kwann umeamua kudanganyaKipindi Trump akiwa Madarakani aliona Marekani haina sababu ya jeshi kuendelea kubaki Afghanistan, kama ni kushinda vita walishashinda kwa kuichomoa serikali ya Taliban, hakukuwa na sababu ya kuendelea kubaki.
Trump alimchimba mkwara kiongozi wa Taliban wakiwa kwenye kikao alimpa karatasi inaonyesha sehemu familia yake inaishi, Akaondoka kwenye kikaoni bila kuongea cha ziada, kwa miezi 18 mfululizo mpaka anapoachia ngazi, Taliban hawakuthubutu kuua wala kumgusa mwanajeshi wa Marekani"
Taratibu zilianza za kuliondoa jeshi kwa heshima (Leaving with honor) kuwaachia wa Afghanistan nchi yao wajiongoze kwa serikali iliyokuwepo, Walibaki wanajesi wamarekani wachache wanaokamilisha mambo ya kurudisha silaha Marekani, kuziharibu, n.k.
Biden kaingia Madarakani mipango yote ya kuondoka kwa heshia ikavurugika, Taliban ilimuona Biden ni kama mdori ikapindua serikali na kuanza kuua wanajeshi wamarekani na Afghanistan, wakazitwaa silaha zenye thamani ya dola bilioni 80, Biden alichukulia poa tu.
Trump ni chuma kinachohitajika kurudi white house sio hawa kina Biden na Kamala.
Osama alikuwa ajent wao CIA. Kila kitu kuhusu Osama kilikuwa Planned, kwa dunia ya sasa usifanye mchezo CIA ikusake kisha eti uchukue miaka yote wakukose, tena mtu ambae wana picha zako na wanakujua vizuri.Pale Marekani ilitupiga na ktk ile operation waliotajwa kushiriki wote walianza kupotezwa ( Nahisi ilikuficha siri zaidi).
Hakuna aliye wasumbua Marekani kama Osama, kwa hali hiyo wangemdhalilisha sanaaa, kama Walivyo fanya kwa Sadam Hussein, camera kuanzia walivyomtoa pangoni na process zote za mahakamani hadi Kunyonga.
Osama wakasem waliweka siri kwa sababu za dini yake ambayo wao wanaipinga🤣.
Obama alicheza game ya kitoto sana.
Wana akili kama, nguruwe, mijitu ina Ak47, lakini inaogopa ikiona mtoto wa kike akaenda shule! Inaogopa kuona nywele za mtoto wa kike, msichana,Talibana wmefanya gwaride kubwa kwa kutumia magari ya deraya na silaha kibao walizowateka Wamarfekani miaka 3 nyuma.
Ikumbukwe kuwa Taliban waliingia vitani na Wamarekani kwa miaka 20 mfululizo baada ya Wamarekani kuwashmabili na kuwataka kuiondowa serikali ya wanafunzi (Taliban) kwa mabavu baada ya Taliban kukataa katakata kumsalimisha Osama BinLaden kwa "kosa amablo hawalijui" kwa usemi wao.
Marekani kwa kujimwambafai wakapeleka majeshi yao wakishirikiana na Majeshi ya Uingereza na NATO nzima. Taliban wakasema hatujawahi kushindwa na yeyote duniani na Afghanistan haijawahi kutawaliwa na nchi yoyote ya nje toka iumbwe dunia, haitotokea hilo kwenye utawala wetu.
Taliban Wakatimiza hilo baada ya miaka 20 ya kuwanyuka Wamarekani na NATO nzima. Licha ya Wamarekani na NATO kuwa na voifaa vya kisasa na zana za teknolojia bora kabisa za kivita,Taliban walikuwa wanawatandika kiaina yake na ushujaa wa hali ya juu, huku wakisema silaha ni sisi wenyewe saiyo hizo toys zenu.
Taliban walitumia silaha za kujiundia wenyewe na wanazoziteka kutoka majeshi ya Marekani na NATO. Wakawatembezea kichapo Wamarekani mpaka Wamarekani wakati wa Obama wakapiga marufuku vyombo vya habari kuonesha picha za masandauku ya maiti ya wanajeshi wao zinazorudi kutokea Afghanistan.
Matokeo, Wamarekani wakakiri kushindwa kimya kimya kwa kutoka nduki na kuwacha nyuma silaha na vifaa vinavyokadiriwa kua na thamani ya US Dollars Billion 7.
Kishujaa na kwa kutamba kabisa, juzi na kila mwaka kuanzia wapate ushindi, wamefanya sherehe za paredi kwa vifaa vya kijeshi na silaha za Wamarekani.
Jionee sherehe hizo...
View: https://youtu.be/RZYZONPhqZ8?si=uW2_4Ky2GXXaBw2g
Hata Pakistan wanafahamu huu ukweli ...Walivyotangaza Wamarekani ni Pakistan, Lakini ukweli ni kuwa Osama alishakufa kwa amri ya Mungu siku nyingi, Wamarekani wakatumia advantage ku act kama wamempata. Ulisikia wapi mtu anatolewa nchi kavu kwenda kuzikwa baharini?
Wamarekani waongo sana.
Hebu acheni kujipa moyo hapa.Ndo kupigwa kwenyewe huko.
Sasa kama malengo yako ya kijeshi hayakufanikiwa kwa miaka 20 na umetumia zaidi ya dola trilion 8 na adui bado yupo sasa hapo umeshinda vita au umeshindwa vita?
NakaziaWana akili kama, nguruwe, mijitu ina Ak47, lakini inaogopa ikiona mtoto wa kike akaenda shule! Inaogopa kuona nywele za mtoto wa kike, msichana,
Kama wanaweza wajenge nchi Yao, iwe kama Korea kaskazini,
Stupid fuckers
Wew nao unahangaika nn? Hawa magaidi koko ya humu yanaweza hata kukuambia Marekani anawaogopa Houthi.Hebu acheni kujipa moyo hapa.
US amekaa Afghani miaka 20 hao Taliban mnaowasifia wakiwa wamejificha mashimoni. Baada ya US kuondoka Afghani, ndio hao Taliban wakaibuka, sasa hapo Taliban kampiga vipi US?!
Unaweza vipi kumpiga mtu asiyekuwepo? Kama US leo akiamua kurudi Afghani, hao Taliban automatically watarudi mashimoni walipokuwepo.
Acheni kuchekesha watu.
Wananishangaza wanaposema US ameshindwa na Taliban, wakati US akiwepo Afghanistan, hao Taliban hujificha mashimoni.Wew nao unahangaika nn? Hawa magaidi koko ya humu yanaweza hata kukuambia Marekani anawaogopa Houthi.
MadrasaWananishangaza wanaposema US ameshindwa na Taliban, wakati US akiwepo Afghanistan, hao Taliban hujificha mashimoni.
Sasa utajiitaje mshindi kama adui yako akija nyumbani kwako wewe huenda kujificha shimoni? kisha akiondoka ndio unaanza kuruka ruka umeshinda!
Hawa jamaa wakapimwe akili.
Sio uongo, ni facts...Bonge moja la story ila Lina uwongo ndani yake ? Hicho kikao cha trump na Taliban ni uwongo cjui kwann umeamua kudanganya