utala utala TU
Senior Member
- Aug 13, 2024
- 187
- 275
Ayupo sawa uyoIngekuwa kingono si wangetaka wanawake watembee uchi kama ufaransa na kwengine kote duniani
Think big
Wapuuzi hawaAyupo sawa uyo
Hao mapoyoyo kutembea uchi kama wanyama kwao ndiyo wanadanganywa ustaarabu.Kwahiyo mwanamke kuvaa kwa stara ndio kumtesa,mbona makanisani hawaendi na chupi huko?
Kivipi?Hii dini wafuasi wake wako kingono zaidi,ndio maana hata hadithi za peponi zinahusu kufanya ngono na mabikra 72 Kila siku.
oya weee 🤣🤣🤣Mashaalah look how beautiful they're!!!
That's the beauty of Islam too
Wapuuzi sana hawa,,huyo mwanaume ukimuuliza akikutana na mwanamke aliyevaa uchi na aliyejistiri,je mwanamke gani atamshawishi kumuangalia na hata kugeuza shingo,jibu ni moja aliye vaa nusu uchi.Hao mapoyoyo kutembea uchi kama wanyama kwao ndiyo wanadanganywa ustaarabu.
lakini uvaaji huo hapana kwa kweli wanakua kama majini. sura zao zionekane wavae kama wanawake wengine wanavyovaa wa kiislamu kawaida.Labda uniambie wanawake kuzuiwa kuendesha magar sawa au kuzuiwa kusoma sawa na hizo ni itikadi na sio sheria za kiislamu
Lkn wanawake kujistiri mnaona shida? Ovyoo kabisa
Hicho kinachofanyika ni ushetani. Unaongea vitu ambavyo ni vya kufikirika. Hivi mwanamke uso wake usipofichwa maana yake yupo uchi? Mwanamke mikono yake isipofichwa ina maana yupo uchi? Nyayo na miguu yake isipofichwa maana yake yupo uchi? Kwa hiyo hawa wanawake wote wanaotembea nyuso zao zikiwa wazi, pamoja na Rais wetu Samia, kwa upotofu uliouleta hapa, maana yake wawanatembea uchi?Dini ya kiislamu haikuanzishwa ni wanaharakati wala vyombo vya habari wala nchi za magharibi, dini ya kiislamu imetoka kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe aliyetuumba na miongozo yake ipo katika Quran, Taliban wanafuata miongozo ya Quran kumlinda mwanamke na vishawishi mbali mbali ambavyo mwenyewe mwanamke atakuwa na thamani zaidi kuliko wanawake wengi ambao huji-expose miili yao na kukaa uchi na kusababisha madhara mbali mbali duniani, kama kuenea kwa maradhi na magonjwa ya zinaa kama ukahaba na umalaya. Mwanamke mwili wake wote unatakiwa uwe kwenye stara. mila za wazungu waachiwe wenyewe wao hawana dini.
Haki za mwanamke zipo wazi katika uislamu tokea dini ya kiislam, Wale wasio na dini ndio hueka makongamano na kutunga haki za mwanamke upya kila wanapoona katika maslahi yao binafsi wanayotaka wao, Waislamu hawana haja kwenda Beijing kupata haki za Mwanamke Quran inatosha.
Sio kila uhuru utamnufaisha mwanadamu kwa maisha ya baadae. Uhuru una mipaka yake kwa kila mtu
Sheikh, kwani kuna shida kugeuza shingo kumtazama mwanamke, kupendezewa naye au hata kumtamani kwa uzuri wake unaovutia??Wapuuzi sana hawa,,huyo mwanaume ukimuuliza akikutana na mwanamke aliyevaa uchi na aliyejistiri,je mwanamke gani atamshawishi kumuangalia na hata kugeuza shingo,jibu ni moja aliye vaa nusu uchi.
Sheria ya dini inasema mwanamke mwili wake wote ni uchi kasoro uso na viganja vya mikono,,kwahiyo wakiacha hivyo ni sahihilakini uvaaji huo hapana kwa kweli wanakua kama majini. sura zao zionekane wavae kama wanawake wengine wanavyovaa wa kiislamu kawaida.
taliban wakorofi hawa bwana 😃Sheria ya dini inasema mwanamke mwili wake wote ni uchi kasoro uso na viganja vya mikono,,kwahiyo wakiacha hivyo ni sahihi
Ila naona taliban wameenda mbali kidogo,anyway sio mbaya sana,wakiwa majumbani kwao wanajiachia tu
Nakubaliana na wewe kuna mambo wanavuka mipakataliban wakorofi hawa bwana 😃
Ndio kuna ubaya ndio mwanzo wa fitina,kama umempenda fuata taratibu muoeSheikh, kwani kuna shida kugeuza shingo kumtazama mwanamke, kupendezewa naye au hata kumtamani kwa uzuri wake unaovutia??
Usahihi hautokani na walichokifanya enzi za mtume au walioongoza dola ya kiislamu, Usahihi unatakiwa utokane na logic na wakati wa sasa tuliopo, wakati huo unaoongelea hata utumwa ulikuwa ni sahihi tu, kwa hiyo tuendeleze utumwa??Wanachokifanya Taliban ni sahihi kabisa kulingana na mafunzo ya dini sahihi ya kiislamu na ndivyo ilivyokuwa wa wakati wa mtume na watawala wa mwanzo walioongoza Dola ya kiislamu baada ya kufa mtume.
Wamsrekani na mazayuni na NATO yao baadab ya kubamizwa na Taliban wamebaki na maneno ya kipuuzi tu.Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umeendeleza mkandamizo mkali kwa wanawake wa nchi hiyo kwa kupitisha sheria kali za maadili zinazotaka wanawake kuficha kabisa gubigubi nyuso zao na miili yao wanapokuwa nje ya nyumba zao pamoja na kupiga marufuku wanawake kuongea mbele ya hadhira/umma.
Taliban wanasema sheria hizi ni kwa ajili ya kuzuia na kudhibiti vitendo vya tamaa na vishawishwi vibaya katika jamii ya nchi hiyo. Hata hivyo wanaharakati na viongozi sehemu mbalimbali duniani wamelaani vikali sheria hizo mpya za Taliban zitakazoanza kutumika mwezi huu.
View attachment 3084102
Sheria za dini hazina usasa boss,hiyo siyo katibaUsahihi hautokani na walichokifanya enzi za mtume au walioongoza dola ya kiislamu, Usahihi unatakiwa utokane na logic na wakati wa sasa tuliopo, wakati huo unaoongelea hata utumwa ulikuwa ni sahihi tu, kwa hiyo tuendeleze utumwa??