Taliban yapiga marufuku ujenzi wa madirisha kwenye majengo ya makazi yanaangalia maeneo waliyopo wanawake kama jikoni

Dini ya haki ya mnyazi mungu
 
Huu ndiyo uislam ninaoujua mimi,na bado kuna vingi vya kupiga marufuku, hata mwanamke kuonekana hadharani ni haramu,ngoja tuchimbe zaidi.
Hisia zako za pull utapata wapi??waacheni nao wana roho na matamanio kama wengine
 
Taliban wanafanya tusahau matatizo ya nchi yetu, dunia iangalie namna ya kuwasaidia
 
Msishangae watalebani Tu,angalia hata kwenye haya majukwaa watu wa Ile Imani. Michango Yao na mada zao,utagundua NI balaa. Hawa wangekua wengi,wanawake wangepigwa STOP kuingia period 😂😂😂😂
 
Huu ndiyo uislam ninaoujua mimi,na bado kuna vingi vya kupiga marufuku, hata mwanamke kuonekana hadharani ni haramu,ngoja tuchimbe zaidi.
Mwisho watatunga Sheria kwamba Mwanamke hastahil kuwep Dunian anatakiwa awahishwe akawe mojawapo ya bikra huko kuzimu.
 
Bora watalebani kuliko vituko wanavyofanyiwa wafuasi wa mwamposa nawanaona ni sawa tu.
 
Basi wangewakata viungo hao wanaotamani badala ya kuwahukumu watu wote kwa makosa ya wachache
 
Naungana na taliban kwa hili,kwanini uchungulie wanawake wakiwa jikoni

Kumbuken mwanamke anapokuwa anapika chakula achokipenda hujiachia sana
 
Uongozi wa Taliban nchini Afghanistan umekuja na sheria nyingine kali sana ya kuwataka wanaojenga nyumba wahakikishe hawaelekezi madirisha mahali ambapo wataweza kuwaona Wanawake wakiwa majikoni, Sebuleni, au popote pale

Aidha Taliban imeendelea kwa kusema kuwa hata waliojenga nyumba tayari zenye madirisha ya kuelekea palipo na Wanawake wanapaswa kuvunja na kuelekezea kwingine ili kuepuka Uovu

Ikumbukwe pia kuwa Wataliban walipitisha Sheria ya kutomtaka Mwanamke YEYOTE kusoma na kupata Elimu ya Duniani, Ila apate Elimu Akhera tu.

Hakika Uislam mzuri, unaheshimisha dunia kwa kusisitiza stara na Adabu kwa Mwanamke...hii sheria iwapate pia Wagalatia / Wakiristo

WABILLAH TAWFIQ
 

Attachments

  • 20241231_175538.jpg
    172.2 KB · Views: 2
Taliban wako sahihi kwa maelezo ya kiislamu na ya Mtume Mohamad na Allah kwenye Quran

Kwenye uislamu hata kuzaliwa mwanamke imepigwa marufuku, akizaliwa mwanamke ni kama laana. Lakini ajabu anaetakiwa kuzaa ni mwanamke.

Walipiga marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe, yaani ni marufuku binti kuongea na mama yake, ni marufuku mwanamke kuchungulia dirishani akaonekana na mtu mwingine. Mwanamke ni marufuku kutoka njee, ni marufuku mwanamke kuongea na mtu mwingine yoyote isipokua mumewe tu.

Uislamu sio mchezo.
 
Hawa ndugu zao na wazanzibari wanashida sana
 
Dunia hii inavituko sana, Wanawake hawa ni mama zetu wanatulea matumboni na utoto wetu mpak tunakuwa vijana nakua watu wazima.

Halafu tunapokuwa watu wazima tunaona hawana thamani kabisa, tunaanza kuwawekea sheria za ajabu ajabu, unaweza kudhani ni mifugo fulani hivi.

Yani tunawamiriki hawa wanawake ni mali zetu?

Kwanini binadamu tunakuwa wabinafsi kiasi hiki na kuondoa utu wa wenzetu bila kufikiria na kujali hata kidogo?
 
Islamu kwa vitendo

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1874908521793229303
 
Wawaue Sasa...inatosha....wakishabughia mihadarati huko huko wanakuja na sheria kandamizi
 
Wengi ni magonjwa ya akili ila watabisha. Kuna hao na wale wanaoshinda mitandaoni wanaongelea habari za bikra na kwamba eti ndio thamani ya mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…