50 Cent alikuwa akimlipa mama mtoto wake $500,000 kwa mwaka (dola $40,000 kwa mwezi) kama matunzo ya mtoto wao, Ila baby-mama huyo akasema haitoshi!
Baada ya mvutano na 50, baby mama huyo akaamua kwenda kwenye mahakama ya familia kuomba nyongeza ya matunzo ya mtoto. Cha kushangaza mahakama iliamua 50 apunguze kiasi hicho hadi $6,700 kwa mwezi.
Pesa nyingi alizotoa 50 Cent kabla ya uamuzi wa mahakama zilitumiwa na baby-mama huyo kuboresha maisha yake binafsi na sio kwa malezi ya mtoto.
Baada ya mvutano na 50, baby mama huyo akaamua kwenda kwenye mahakama ya familia kuomba nyongeza ya matunzo ya mtoto. Cha kushangaza mahakama iliamua 50 apunguze kiasi hicho hadi $6,700 kwa mwezi.
Pesa nyingi alizotoa 50 Cent kabla ya uamuzi wa mahakama zilitumiwa na baby-mama huyo kuboresha maisha yake binafsi na sio kwa malezi ya mtoto.