rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Sheria ipo hivyo ila kama Kuna sababu za msingi mtoto anaweza kuchukuliwa kabla ya umri huo kutimiaSheria ni mpaka mtoto atimize miaka 7 ndiyo baba ana haki zote za kimchukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ipo hivyo ila kama Kuna sababu za msingi mtoto anaweza kuchukuliwa kabla ya umri huo kutimiaSheria ni mpaka mtoto atimize miaka 7 ndiyo baba ana haki zote za kimchukua
Kwa maelekezo ya muhusika Hana sababu za msingiSheria ipo hivyo ila kama Kuna sababu za msingi mtoto anaweza kuchukuliwa kabla ya umri huo kutimia
Mara mbili kwa watoto wangu wa kiume nlizaa na wanawake wawiliMkuu, kwani umewahi kutokewa na issue kama hii??
Maana nisije nikawa nabishana bure pasipo ulazima...🤨
Ok, kwanza zipo sehemu mbili ambazo waweza kupeleka malakamiko yako ili uweze kupatiwa haki ya kukaa na mtoto. Kwanza ni ustawi wa jamiii na pili ni mahakamani.Mara mbili kwa watoto wangu wa kiume nlizaa na wanawake wawili