Duuh50 Cent alikuwa akimlipa mama mtoto wake $500,000 kwa mwaka (dola $40,000 kwa mwezi) kama matunzo ya mtoto wao, Ila baby-mama huyo akasema haitoshi!
View attachment 2681759
Baada ya mvutano na 50, baby mama huyo akaamua kwenda kwenye mahakama ya familia kuomba nyongeza ya matunzo ya mtoto. Cha kushangaza mahakama iliamua 50 apunguze kiasi hicho hadi $6,700 kwa mwezi.
Pesa nyingi alizotoa 50 Cent kabla ya uamuzi wa mahakama zilitumiwa na baby-mama huyo kuboresha maisha yake binafsi na sio kwa malezi ya mtoto.
Dah hivi viumbe tunavipenda lakini vikikugeuka daaah utaisoma namba50 Cent alikuwa akimlipa mama mtoto wake $500,000 kwa mwaka (dola $40,000 kwa mwezi) kama matunzo ya mtoto wao, Ila baby-mama huyo akasema haitoshi!
View attachment 2681759
Baada ya mvutano na 50, baby mama huyo akaamua kwenda kwenye mahakama ya familia kuomba nyongeza ya matunzo ya mtoto. Cha kushangaza mahakama iliamua 50 apunguze kiasi hicho hadi $6,700 kwa mwezi.
Pesa nyingi alizotoa 50 Cent kabla ya uamuzi wa mahakama zilitumiwa na baby-mama huyo kuboresha maisha yake binafsi na sio kwa malezi ya mtoto.
Tatizo mama anaweza kukataa kumchukua mtotoMimi nilisha apa kwamba, haitokaa itokee nikampa mama mtoto wangu pesa ya matunzo wa mtoto.
Badala yake nitamchukua mtoto ili nimlee mimi mwenyewe (sababu sitaki kuona mtoto wangu analelewa na baba mwingine)
Mimi wakwangu wote niliwachukua kwa mamazao.Tatizo mama anaweza kukataa kumchukua mtoto
Nimejiridhisha mtoto ni wangu ila mama yake kakomaa nae mi nimegive up na ndo mtoto pekee wa kiume niliyenae.Mimi wakwangu wote niliwachukua kwa mamazao.
Na ukiona mama anakataa mwanae asichukuliwe na baba yake "hapo anza kufanya uchunguzi kama kweli mtoto ni wako"
Sheria ni mpaka mtoto atimize miaka 7 ndiyo baba ana haki zote za kimchukuaMimi wakwangu wote niliwachukua kwa mamazao.
Na ukiona mama anakataa mwanae asichukuliwe na baba yake "hapo anza kufanya uchunguzi kama kweli mtoto ni wako"
Nimejiridhisha mtoto ni wangu ila mama yake kakomaa nae mi nimegive up na ndo mtoto pekee wa kiume niliyenae.
Amezaliwa 2015 sasa ana zaidi ya sabaHajafikisha miaka 7 nini?
LabdaSiyo wako
Siyo wako
ONE BOY DOWN.. I REPEAT..ONE BOY DOWN...WE NEED BACK UP..OVERNimejiridhisha mtoto ni wangu ila mama yake kakomaa nae mi nimegive up na ndo mtoto pekee wa kiume niliyenae.
Nenda ustawi ukapeleke mashtaka ya kukataliwa mwanao ambae unamuhitaji umlee wewe mwenyewe.Nimejiridhisha mtoto ni wangu ila mama yake kakomaa nae mi nimegive up na ndo mtoto pekee wa kiume niliyenae.
Mkuu, kwani umewahi kutokewa na issue kama hii??Sheria ni mpaka mtoto atimize miaka 7 ndiyo baba ana haki zote za kimchukua
Stuka mkuuAmezaliwa 2015 sasa ana zaidi ya saba
Kama una uhuru naye,na una uhakika anapata msingi unaostahili na kwamba akiwa kwako anaweza asipate kile anachostahili kutokana na mazingira yako,mwache huko kwa mama yake.Vinginevyo pambana mchukue mwanao.Nimejiridhisha mtoto ni wangu ila mama yake kakomaa nae mi nimegive up na ndo mtoto pekee wa kiume niliyenae.