Samawati
Member
- Oct 6, 2010
- 90
- 71
Kakuambieni nani kuwa tamaa ndio hufanya watu kuwa na mahusiano nje ya yale walio nayo ( ndoa, uchumba n.k)??
Nachoka kusikia kila mara mkisema ...kapata mtu mwingine shauri ya tamaa.kwani binadamu kupenda mtu mwengine ni ajabu? Mi sidhani ni tamaa..au mnifafanulie tamaa maana yake nini.
Nachoka kusikia kila mara mkisema ...kapata mtu mwingine shauri ya tamaa.kwani binadamu kupenda mtu mwengine ni ajabu? Mi sidhani ni tamaa..au mnifafanulie tamaa maana yake nini.