Elfu 5 kwa siku inatosha kwa maisha ya kawaida. Tatizo siku hizi tumeacha kulima vibustani vilikua vinatusaidia kwa mbogamboga, sio kununua kila kitu sokoni.
Mimi ingenitokea kungechimbika nisingekua na mda wa kuulizana maswali ya kipolisi lazima zingepigwa kwanza tena saana,baada ya hapo mbele ya dereva taxi ingetoka talaka tatu cash.Hakuna mjadala hapo.Makosa yote naweza samehe lakini kwa hapo np.
hata kama shida zimezidi but too much, wamama wengine wachafu sana mbele ya hako kamalaika unafanya hivyo!! wala asijipe excuse mumewe hatoi matumizi ndo ufanye uchafu mbele ya kachanga!!!!! dunia laana tupu
du hiyo 5,000 kwa mwezi mzima =150,000
kima cha chini cha maafande ni bei gani?
hapohapo watoto waende shule,ndugu nao watake msaada!
ewe serikali angalia watumishi wako hasahasa hawa maafande
kwa hali hii rushwa haitaisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.