Tamaa ya Pombe za bure inavyowaponza mabinti!

Tamaa ya Pombe za bure inavyowaponza mabinti!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wewe binti Huna hela ya pombe, si utulie home? Kutwa kujichatisha WhatsApp na insta kwa waume za watu na kuomba hela ya Pombe, wengine tushachoka na stress za kwenye ndoa ukijichanganya sisi tunapiga tu Kama mwewe. Hakunaga habari ya kutulia na demu mmoja.
 

Attachments

  • 2637487_Screenshot_20201212-133311_1607769611010.jpg
    2637487_Screenshot_20201212-133311_1607769611010.jpg
    30.7 KB · Views: 6
Mmh Sasa huko kwenye ndoa yako umeoa mtu mwenye sifa za kuwa mke au demu?
 
Wadada mnaopenda offer za pombe za bure kutoka kwa wanaume, mkuje huku mnaitwa kuna jambo lenu.
 
Back
Top Bottom