Tamaa za maisha zinavyowapoteza mapunda wa madawa ya kulevya

Tamaa za maisha zinavyowapoteza mapunda wa madawa ya kulevya

so sad, Nawaombea wachomoke. yawezekana chanzo ikawa hali ya kimaisha imewafanya kuwa mapunda wa watu
So sad kwani walilazimishwa, si wamejipeleka wenyewe kwa ujuha wao.
 
Unakuta mtu anakuchovya mtaro ukiwa unaona na huna la kumfanya! Bora ufe tu kuliko dhihaka hizo
Huyo anaening'inia unafikiri katoka salama. Mkao huo lazima wanamla ndogo, kasetiwa tayari kwa kuliwa.
 
Tiba kama hizi zinahitajika sasahivi hii inanyoosha ubongo hata uwe wa mbuzi bila hivyo vijana wanaenda na maji
6439c265b071455986cf62c415cb5329.jpg
 
Maishaa magumu mnoo jaman, hata mie nikipata mchongo wa kuwa Punda, najilipuaa tyuuh.

Madon wa Unga, mkujee kwangu nataka na mie hizo fursaaa.
 
Maishaa magumu mnoo jaman, hata mie nikipata mchongo wa kuwa Punda, najilipuaa tyuuh.

Madon wa Unga, mkujee kwangu nataka na mie hizo fursaaa.
Unataka kuning'inizwa kama ng'ombe na wewe
 
Naweza mtapeli mtu hasa hawa foreigners!

Lakini siwezi piga mishe za

1. Ujambazi
2. Kusafirisha sembe
3. Kusukumiwa samadi
4. Kujifanya mtumishi wa Umma hasa majeshi,Ikulu sijui Usalama! Hapana aiseee
 
Maishaa magumu mnoo jaman, hata mie nikipata mchongo wa kuwa Punda, najilipuaa tyuuh.

Madon wa Unga, mkujee kwangu nataka na mie hizo fursaaa.
Usilie mwanaume jikaze kiume au ukiweza ongeza mme wa pili,
 
Back
Top Bottom