mujimali
Senior Member
- Jun 21, 2013
- 190
- 116
habari zenu wanajamvi...
kwa wale wapenda hip hop sidhani kamakuna mtu hawajui hawa jamaa i.e tamaduni music..hawa jamaa nadhan ndo the best hip hop crew alive hapa bongo na nadhan ndo wenye wasanii bora kabisa wa hip hop hapa town
kwenye label hii i.e mlab utakutana na mtu kama nikki mbishi,one,songa,gheto ambassador,kadigo,azma nk chini ya producer duke,mujwahuki nk
Ni watu wenye movement ya kweli kwenye hip hop. wana mistari mizuri na iliyopangiliwa...ni hayo tuu
kwa wale wapenda hip hop sidhani kamakuna mtu hawajui hawa jamaa i.e tamaduni music..hawa jamaa nadhan ndo the best hip hop crew alive hapa bongo na nadhan ndo wenye wasanii bora kabisa wa hip hop hapa town
kwenye label hii i.e mlab utakutana na mtu kama nikki mbishi,one,songa,gheto ambassador,kadigo,azma nk chini ya producer duke,mujwahuki nk
Ni watu wenye movement ya kweli kwenye hip hop. wana mistari mizuri na iliyopangiliwa...ni hayo tuu