manataka niache ngumu nibane pua, ninyoe kiduku ndo niwe msanii wanayemtambua-by unoHip hop ya kweli huwa haipo kwenye radio wala haitaji promo mnayotaka nyinyi. Ama mnataka muwabebeshe madawa ili wasisike mnavyotaka nyinyi!
ndio maana anaitwa tamaduni,wanafata tamaduni za hiphopKama wanataka kuendana na soko la mziki wa sasa...inabidi wabadilike, wasiache uandishi wao ila waboreshe midundo(beats), videos na waache ujuaji wa kijinga.
Sijasema wabadilike kabisa, nimesema waboreshe....afu tamaduni sio lazima utumie beat za makopondio maana anaitwa tamaduni,wanafata tamaduni za hiphop
Kuwaambia wabadilishe tamaduni kisa soko ni kuharibu tamaduni
Inamaana wakenya wanasema hawa jamaa ni wakwao au........Wakenya wa wapi hao ilhali wakenya hawaelewi kiswahili cha TZ sijui wanawapenda vp tamaduni. Kupendwa na wakenya hakumaanishi TZ utapendwa pia. Muziki ni zaidi ya kukaza mashairi.
Tungo zangu kifungo na funzo kwa wapumbavukuwapenda tamaduni lazima uwe msikivu..
wanafanya kwa ajili ya "fan not fame" nawakubali sana
#IamTamaduniDHF
Tungo zangu kifungo na funzo kwa wapumbavu
nguzo zangu za tungo ni funzo kwa tungo kavu
Matunzo ya zangu tungo ni gumzo ndo mana mkavu..twendeeeeee!!!!!
Moko wa miujiza noma..Hii ni ipi?Snitch akiniboa namchojoa nampa mbata
namkoboa namzodoa nampa doa nampa chata
Nikikohoa roho inapoa inatakata
Moko poa niko safi niko haswa
Mi ndo One the Incredible
Moko wa miujiza noma..Hii ni ipi?
One ni hatari blaza hiyo ni verse ya kwanza ya ile track uliyocomment...Moko wa miujiza noma..Hii ni ipi?
Pure numberMoko wa miujiza noma..Hii ni ipi?
Ok..lyrics nilishazisahau..Nilikuwa nakumbuka chorus tu..One ni hatari blaza hiyo ni verse ya kwanza ya ile track uliyocomment...
sio pure numberPure number
Daah siku hizi pia nakosa muda wa kuwasikilizaOk..lyrics nilishazisahau..Nilikuwa nakumbuka chorus tu..