ujue kuna pure number na pure number remix..... kati ya hizo mbili moja kachana hiyo mistari...sio pure number
Japo kwenye pure kauwa sana yule jamaa
Owkay labda pure remix mkuuujue kuna pure number na pure number remix..... kati ya hizo mbili moja kachana hiyo mistari...
Ipi hiyo?..Sijasikia kazi yake mpya kitambo..Nimemuona tu kwenye project kama mbili hivi za featuring hapa karibuniDaah siku hizi pia nakosa muda wa kuwasikiliza
Kuna mpya ya one nimeipata juzi bado anafanya poa sana!
Nimejaribu upload hapa naona ni kubwa kidogo mkuuIpi hiyo?..Sijasikia kazi yake mpya kitambo..Nimemuona tu kwenye project kama mbili hivi za featuring hapa karibuni
Poa ngoja niichekiNimejaribu upload hapa naona ni kubwa kidogo mkuu
Ila youtube ipo pia inaitwa "adoado mixer one ft jaco beat" nimeipata week kadhaa nahisi sio ya muda kabisa
Ado ado mixer imetoka kama mwezi wa kumi ivi mwaka 2015...ina muda kidogoNimejaribu upload hapa naona ni kubwa kidogo mkuu
Ila youtube ipo pia inaitwa "adoado mixer one ft jaco beat" nimeipata week kadhaa nahisi sio ya muda sana
Nikki nomaa pia sanaHii ndo feedback
nakupa report kwa big track,
Jifiche kwa OPP, kote na big mac,
Haikwepeki risasi, kasi ya mota kusota kwa nafsi basi kisasi kiasi inatosha,
Kaa na mavi unuke au marashi unikie,
Kazi kuwa star, wazi we ni trash kwangu mie,
Plus umeshabugi, makali dugi sio queen lady,
Sina penzi kwa mala.ya ndo ubaya wa slim shed,
Lango la jiji.. washamba..wajanja wanazama,
Mama kama bibi mbona umezama kwa kujua drama,
Am so sorry kwangu huna story, shawry umebuma,
Umegeuka tolori, huendi mpaka ushikwe nyuma,
# feedback by nikki mbishi
Tamaduni boresheni muziki wenu, mtafika mbali zaidi...
Iyo ni one incredible oringinal song by one incredibleMoko wa miujiza noma..Hii ni ipi?
Uko sawa mkuu nimeona bandiko lake youtube ni Nov 2015 mihangaiko tu mpaka nachelewa kuwapata vijana wangu...Ado ado mixer imetoka kama mwezi wa kumi ivi mwaka 2015...ina muda kidogo
Huo mziki wanaoimba ni #oldskulHipHop. Kwa dunia ya sasa soko hauna. Mcheki Ngosha na walk it off. Hip Pop lainiKama ulikuwa hujui, hawa jamaa wa Tamaduni Music wanakubalika sana nchini Kenya. Hiphop yao inaeleweka sana. Kuanzia Nikki Mbishi, One The Incredible, Songa, Stereo, P The Mc, Maalim Nash na wengine wengi.
Tatizo ni kuwa siwaoni wakiendelea kama wasanii wengine wa Tanzania wanavyoendelea licha ya kufanya hiphop ya ukweli. Nini kinachowakwamisha wakali hawa?
Hahaha, hawa jamaa hususani nikki, one, zaiid nawaelewa sana kuanzia flow, uandishi na kila kitu...they know how to stick on the beats though beats zingine wanazingua.Uko sawa mkuu nimeona bandiko lake youtube ni Nov 2015 mihangaiko tu mpaka nachelewa kuwapata vijana wangu...
Hii naielewa sana, utamaduni by mbishi...Bashiri unavyoweza, au beza inapostahili
Au tabiri kama pweza, jeneza linamsubiri
Na eneza mashairi mithili ya injili ya ebeneza
Kiswahili, kiingereza nacheza mahiri naweza
Nawapa somo wana, bila kikomo nachana
Media zinabana promo, na mdomo bado umeachama
Katuni tupa kapuni, na kupa kanuni
Supa kapuka hazivumi, shtuka, zinduka na utamaduni
Mbishi ni oversize, nivae nikuvuke
We ni mayonnaise kwenye mkate, ngoja uchakae baadae wakutupe
Ndani ya kilinge nitinge, chui ni vimbe
We hujui mbinde, Msondo huijui ngoma ya sikinde
Na survive na vibe za live bendi
Mi na mengi ya ku-describe, sio pride ya ku-drive range
Hii ni wazi, nina hadhi ya wako role model
Na sio stori ndogo, ka una maradhi twende loliondo
We ni James Bond toy, mi ni James Bond mtu
Wanarespond, lecture ka za Desmond Tutu
Siyo choo cha kike, hiki ni choo cha mashoga
Sina uoga napo flow, na hii siyo show ya mapouka