drake yuko juu kwa sasa kuliko luda hilo halina ubishi marekani si sawa na bongo marekani mtu akiwa ana hit kwa sasa sio wa kumshika kwa kweli ngoja nikupe mfano mdogo ludacris ana charge usd 75,000 per verse ukitaka kumshirikisha wakati juzi niliona twitter ya kanye west anasema ukitaka kumshirikisha 2-chainz ni usd 100,000 per verse wkati ya luda na 2 chainz nani msanii mkubwa ? Iweje 2 chainz achaji more kuliko luda?? JIULIZE? Unakumbuka ugomvi wa piers morgan na madonna ni kuwa piers morgan alikataa kumualika madonna kwenye kipindi chake akiogopa kuwa hatapata watazamaji kwanini piers morgan alisema "we have lady gaga now" ?? JIULIZE tusishabikie vitu tusivyovijua ila ukweli ndio huo waendelee kumleta shaggy u.s.a unafikiri nani anataka kumsikiliza shaggy? wanakwambia we have don omar now hawana hela ya kumleta don omar, fabolous ana nyimbo gani ya hit?? Mdau aliyesema kuwa billboard sio inshu namshauri aendelee kusikiliza bongo flava asiongee vitu usivyovijua matokeo yake unaongea pumba mbele ya hadhira