Tamasha la Muziki wa Shukran Bila Rose Muhando ni kuukosea heshima Mziki wa Injili

Tamasha la Muziki wa Shukran Bila Rose Muhando ni kuukosea heshima Mziki wa Injili

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,195
Kwa wapenzi wenzangu wa Mziki wa Injili, kesho tar05 Jumapili viwanja vya Tanganyika Packers -Kawe, kutakuwa na tamasha kubwa la mziki wa Injili linaloitwa ' Muziki wa Shukrani, Kila Goti Litapigwa ' lililoandaliwa na E Fm/ Etv.

List ya perfomer n ndefu. Ila kilichonisikitisha n kutokuliona Jina la dada etu Rose Muhando.
Nimesononeka sana. Maana Takosa kuiskia Live ' Shujaa wa Msalaba, Kiatu , Nibebe nk' zilizoimbwa na Rose Muhando.

Yote kwa yote Atakuwepo John Lisu. ' Utukufu na Heshima ' itaskika livee...

Karibuni pia ndugu zangu..
 
Back
Top Bottom