Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kama hatakuwepo Malkia wa Gospel Bahati Bukuku hamna kitu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo waimba gospel hawashindani wote wanatoa ujumbe imani yako haba weweKama hatakuwepo Malkia wa Gospel Bahati Bukuku hamna kitu hapo.
Ndo nipo hapa naamgalia. Sidhani kama atakuwepoSauti na Pumzi..
Ila Rose jamani... Sijawahi kuchoka kusikiliza Nyimbo zake..
HajatokeaNdo nipo hapa naamgalia. Sidhani kama atakuwepo
YessHajatokea
Kwa wapenzi wenzangu wa Mziki wa Injili, kesho tar05 Jumapili viwanja vya Tanganyika Packers -Kawe, kutakuwa na tamasha kubwa la mziki wa Injili linaloitwa ' Muziki wa Shukrani, Kila Goti Litapigwa ' lililoandaliwa na E Fm/ Etv.
List ya perfomer n ndefu. Ila kilichonisikitisha n kutokuliona Jina la dada etu Rose Muhando.
Nimesononeka sana. Maana Takosa kuiskia Live ' Shujaa wa Msalaba, Kiatu , Nibebe nk' zilizoimbwa na Rose Muhando.
Yote kwa yote Atakuwepo John Lisu. ' Utukufu na Heshima ' itaskika livee...
Karibuni pia ndugu zangu..
Hana mgt?Shida ya huyu dada ukitaka kufanya naye kazi na mnapokuja katika suala la mkataba ni msumbufu zaidi ya Morrison
Kwani Rose aliacha kutumia unga?Kwa wapenzi wenzangu wa Mziki wa Injili, kesho tar05 Jumapili viwanja vya Tanganyika Packers -Kawe, kutakuwa na tamasha kubwa la mziki wa Injili linaloitwa ' Muziki wa Shukrani, Kila Goti Litapigwa ' lililoandaliwa na E Fm/ Etv.
List ya perfomer n ndefu. Ila kilichonisikitisha n kutokuliona Jina la dada etu Rose Muhando.
Nimesononeka sana. Maana Takosa kuiskia Live ' Shujaa wa Msalaba, Kiatu , Nibebe nk' zilizoimbwa na Rose Muhando.
Yote kwa yote Atakuwepo John Lisu. ' Utukufu na Heshima ' itaskika livee...
Karibuni pia ndugu zangu..
Kwani Rose aliacha kutumia unga?
Yes alitisha kuliko woteNimemfurahia @goodluckgosbet