Zanzibar 2020 Tamasha la nyimbo za CCM Zanzibar ovyo - Mgombea Urais asepa kiaina

Zanzibar 2020 Tamasha la nyimbo za CCM Zanzibar ovyo - Mgombea Urais asepa kiaina

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Nilijua tu hakuna kitu pale tamasha la kuwaburudisha wananchi lilikuwa ovyo sana ukiangalia kwa makini waliohudhuria ni wachache sio matarajio ,kiasi ya kubadilisha mada na kuliita tamasha la nyimbo za uchaguzi na huku mgeni wa heshima kuambia amehudhuria kwa sapraizi,wanadanganyana wenyewe kwa wenyewe.

Baada ya kuona hakuna kinachoeleweka mgombea Urais Dkt. Hussein Mwinyi akasepa na kujiondokea ni wazi hakuna kilichomfurahisha ,likabakia jimama moja nene sana limevaa nguo za manjano na jamaa moja bonge nafikiri ndie katibu au sijui ni mtu na mkewe wakisherehesha ile sheree,ila yule mama masikini naona amepwerewa kabisa sio kawaida yake yupo calm hana maneno kabisa,ila yule jamaa akijikurupusha kucheza peke yake, akimuangalia Huseini Mwinyi kama atanyanyuka lakini wapi Huseini kauchuna vibaya mno. mpaka anaondoka hata kuwapa mikono.

Zanzibar na kwaya wapi kwa wapi wekeni taarabu. Jana CCM wameaibika vibaya sana na wasanii wao, wasanii wakikatisha nyimbo maana hakuna anaenyanyua mikono wala kupunga wakiona wameletwa kuaibishwa na kuwashusha hadhi,maana unaposema inueni mikono aafu hakuna anaekusikiliza ,utajihisi vipi ni aibu kwao na hakuna uungwaji mkono kwa chama wanachokipiga jeki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi kurekodi jamaa nuksi sana,wewe google tu utaiona,kama waliiweka na hawajaidiliti. Huseini anaondoka hata kutoa mikono ,anajua waliomzunguka wanapitisha siku tu.

Hivi nani asie jua shangwe za CCM Zanzibar je ndivyo zinavyokuwa kama mtu aliona meza kuu tofauti na huku Tanganyika kasheree kadogo meza ya CCM inajaa vingunge na Zanzibar ilikuwa hivyo enzi za kina karume na babu ali ila Huseini wamemfanya kama mwana wa kambu ccm wa Zanzibar hawana heri hata moja ukiwakosea wao hununa na shombo na visa kibao,na wanasema bado watamfanya rafiki wa kweli lakini wanamdanganya.
 
Nilijua tu hakuna kitu pale tamasha la kuwaburudisha wananchi lilikuwa ovyo sana ukiangalia kwa makini waliohudhuria ni wachache sio matarajio ,kiasi ya kubadilisha mada na kuliita tamasha la nyimbo za uchaguzi na huku mgeni wa heshima kuambia amehudhuria kwa sapraizi,wanadanganyana wenyewe kwa wenyewe.

Baada ya kuona hakuna kinachoeleweka mgombea Urais Dkt. Hussein Mwinyi akasepa na kujiondokea ni wazi hakuna kilichomfurahisha ,likabakia jimama moja nene sana limevaa nguo za manjano na jamaa moja bonge nafikiri ndie katibu au sijui ni mtu na mkewe wakisherehesha ile sheree,ila yule mama masikini naona amepwerewa kabisa sio kawaida yake yupo calm hana maneno kabisa,ila yule jamaa akijikurupusha kucheza peke yake,akimuangalia Huseini Mwinyi kama atanyanyuka lakini wapi Huseini kauchuna vibaya mno. mpaka anaondoka hata kuwapa mikono .

Zanzibar na kwaya wapi kwa wapi wekeni taarabu. Jana CCM wameaibika vibaya sana na wasanii wao, wasanii wakikatisha nyimbo maana hakuna anaenyanyua mikono wala kupunga wakiona wameletwa kuaibishwa na kuwashusha hadhi,maana unaposema inueni mikono aafu hakuna anaekusikiliza ,utajihisi vipi ni aibu kwao na hakuna uungwaji mkono kwa chama wanachokipiga jeki.
Maalim Sefu amewatangazia wafuasi wake watembee na majambia, unadhani wazanzibar hawajui hilo?
 
Wanamchukulia mwinyi poa hawa makamanda wakudanganyana mitandaoni
Looh! aibu,
Hussein Mwinyi afanye hivyo hivyo wazanzibari baadae watamuelewa kuwa si mtu wa kuchezewa kwaya.
 
Back
Top Bottom