It will always be in my memory,
Vurugu ya mwisho tuliingia Azania na chupa za mafuta yas petrol kama mabomu, nikiwa form two.
Tukarusha mabomu mawili laboratory ya Azania, wakawahi kuizima.Mara Azania wakatoka na makwanja , tumo ndani ya senyenge zao! Kilichotokea baada ya hapo inabaki historia.
Nilikimbia jangwani mabondeni huko nikakutana na tope linanuka vibaya sana, kuna wanafunzi wa azania walikuwa huko walikula kibano.It was war-like zone
Lakini nakiri afadhali walituhamishia mikoani, maana nisingemaliza salama, umri wa kubalehe ule na kufuata mob saikoloji ungetumaliza.
Ulikuwa ukituleta darasani moto wa kuotea mbali!! makonda walikuwa wanaheshimu Tambaza bwana
Label ya shule ilikuwa kali mpaka leo sijaona mfano wake, yangu ilikuwa kijani-group two!
SAMBUKILE-TAMBAZA!!!!!!!!!!!!!!!