Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chanzo kilikuwa ni kuonyeshana ubabe kitaaluma pamoja na 'uroho' wa wanafunzi wa azania kutaka kuchukua mademu wa tambaza. unajua azania (ya zamani) ilikuwa fiti sana sasa walikuwa wanawaburuza tambaza na pia wanawachapia 'mashori' wao. vijana wa tambaza nao wakawa hawakubali teh teh teh wanaishia kujitutumua na matokeo yake 'ngumi jiwe'...Nipo hapa nimeboreka, najaribu ku-reminisce matukio mbalimbali ya maisha yangu. Wangapi hapa walishuhudia hii shughuli kwa namna moja ama nyingine? Unakumbuka nini kuhusu tukio hili?
Hee! Kumbe na wewe ni mwanaTambaza. Ndio maana una akili.Sisi Tambaza tuliwabonda sana nyie Azania
Sisi Tambaza tuliwabonda sana nyie Azania
Hee! Kumbe na wewe ni mwanaTambaza. Ndio maana una akili.
mchanga wa macho!....wee si ulisema umesoma shaban Robert?..how come tena ukasoma Tambaza?....juzi hapa kwenye matangazo uliandika unamtafuta shori mmoja ulisoma naye shaban robert ulikuwa unamtamani lakini unakufa kisabuni||
kwa ngumi Tambaza walikuwa juu!!
No Mr wangu alisoma Pugu,so huwa ananisimulia,anasimulia kuwa enzi hizo baada ya mechi ambayo Tambaza wamefungwa,ilikuwa fimbo na mawe kwa kwenda mbele!!
Aaaah Cuppy nini tena...
Hawanga?...profesor Hawanga wa UDSM?....Kama ni yule mama yes alifariki a while ago.....unless UNAZUNGUMZIA MWINGINE...Nasikia mnaa Hawanga kajifia zake, kweli?
Curious!....
I know a lot of guys waliosoma tambaza kuliko azania...I think Azania wengi walikuwa ni john kisomo...walikuwa washamba sana compared to Tambaza walikuwa so bad boys na si unajua wanawake wanapenda sana bad boys...they treat you good man!.....
Lol...you like bad boys huh? You like the ones who are rough on the edges...that don't mind pulling hair every once in a while...
Yes all of the above!...i love them bad boys strong hands siyo mwanamume mzima anakuwa na soft hands kyeruuuu!.....
Cuppy what is "kyeruuuu"? Kinyalu hicho au?