Nimeona video ya show ya Kiba kwa Milard Ayo mwishoni kawapandisha jukwaani Joketi na Wema Sepetu. Dah, yani aibu naona Mimi. Hawa kinamama wanajidharirisha bure. Wenyewe sijui hawaelewi kama huyo Wema sijui ndio kavaa nini na mitako yake kama maboya. Kwani hawana ndugu hapa mjini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.