Tambua akili ya kihuni ya kibiashara kwenye nauli tarajiwa za SGR

Tambua akili ya kihuni ya kibiashara kwenye nauli tarajiwa za SGR

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Mafisadi na Walevi wa utajiri wana akili sana sana. Akili ya kawaida ni kwamba Dhamira kuu ya SGR ilikuwa kupunguza kero za Usafiri wa barabara katika kukuza uchumi na maendeleo.

Hivyo ilifaa SGR iwe mbadala wa Usafiri wa barabara Kwa abiria na mizigo kama namna ya kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi.

Hawa matajiri wanaomiliki mabasi na malori ndio wenye nchi na wenye ushawishi kwa Serikali hii na wana nguvu kweli kweli. Wapo Viongozi wafanyabiashara. Hawangeweza kujichimbia kaburi shindani kibiashara, Kumleta mshindani Kwa hiari hawapo Kwa ajili ya uchumi jumuishi.

Sina hakika kama agenda au maamuzi ya mpito.

Kwa maana viwango vya nauli za SGR vinaonesha wajanja wamefuta ushindani wa SGR dhidi ya usafiri wa barabara.

Kwa namna ilivyo Sasa Kwa viwango vya nauli SGR ni mbadala Usafiri wa Ndege (Anga).

Dhamira halisi imekufa kibudu.

Hivyo hata kiwango Cha uwekezaji wa vichwa na mabehewa vitakuwa duni maana utashi haupo tena.

Ni aibu sana sana na huu mtego unaenda kuwa ni laana mnyumbuliko na mtambuka kama hawata jisahihisha.

sioni hoja ya creation of a new service for a given type of any growing market segment.

The obvious is creation of a non competing threat, substitute product or service.

Primarily this is huge suicidal to our economy.

Nitajibu na kuongeza maelezo kwenye kujibia comments na Maswali
.Nina hasira ila acha nicheke tu

hahaaa pwapwa twatwaaaaa.!! Tumepigwa Ndoige

Ni hayo tu
 
Matajiri wakubwa ni makatili Sana hasa linapokuja suala la kuongeza ukwasi wao..hawajali chochote!
Ni hudhuni sana, sijajua kama dhamira yao Kwa Sasa nikuua kivuli na legacy ya Magufuli kwenye memory nyakati hizi za mpito
 
Utasikia kwenye vikao tulibishana sana wadau walikuwa na hoja nzito sana hasa kwenye short-run na medium-term. Wakati hawa wahuni walijua kabisa schedule ya mwendokasi. Mungu atusaidie maana halisi ya uongozi wa dhamana ya Umma haupo tena.
 
Mafisadi na Walevi wa utajiri wana akili sana sana. Akili ya kawaida ni kwamba Dhamira kuu ya SGR ilikuwa kupunguza kero za Usafiri wa barabara katika kukuza uchumi na maendeleo.

Hivyo ilifaa SGR iwe mbadala wa Usafiri wa barabara Kwa abiria na mizigo kama namna ya kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi.

Hawa matajiri wanaomiliki mabasi na malori ndio wenye nchi na wenye ushawishi Kwa Serikali hii na wana nguvu kweli kweli. Wapo Viongozi wafanya biashara. Hawangeweza kujichimbia kaburi shindani kibiashara, Kumleta mshindani Kwa hiari hawapo Kwa ajili ya uchumi jumuishi.

Sina hakika kama agenda au maamuzi ya mpito.

Kwa maana viwango vya nauli za SGR vinaonesha wajanja wamefuta ushindani wa SGR dhidi ya usafiri wa barabara.

Kwa namna ilivyo Sasa Kwa viwango vya nauli SGR ni mbadala Usafiri wa Ndege (Anga).

Dhamira halisi imekufa kibudu.

Hivyo hata kiwango Cha uwekezaji wa vichwa na mabehewa vitakuwa duni maana utashi haupo tena.

Ni aibu sana sana na huu mtego unaenda kuwa ni laana mnyumbuliko na mtambuka kama hawata jisahihisha.

sioni hoja ya creation of a new service for a given type of any growing market segment.

The obvious is creation of a non competing threat, substitute product or service.

Primarily this is huge suicidal to our economy.

Nitajibu na kuongeza maelezo kwenye kujibia comments na Maswali
.Nina hasira ila acha nicheke tu

hahaaa pwapwa twatwaaaaa.!! Tumepigwa Ndoige

Ni hayo tu
Kuna demand kubwa sana ya Express service, Hio treni inaweza kujaa hata bila watu, si kila service lazima iwe inahusu watu wote.

Sasa hivi mteja wa mkoani akiagiza mzigo kkoo hawezi upata siku hio hio, imagine service Mteja anatoa Order Dar asubuhi mchana ameupata mkoani.

Waache wajaribu wanachotaka tuone kama wapo sahihi ama La.

Pia mna wa overrate sana hao wamiliki mabasi na Malori na hizo nguvu zao.
 
Kuna demand kubwa sana ya Express service, Hio treni inaweza kujaa hata bila watu, si kila service lazima iwe inahusu watu wote.

Sasa hivi mteja wa mkoani akiagiza mzigo kkoo hawezi upata siku hio hio, imagine service Mteja anatoa Order Dar asubuhi mchana ameupata mkoani.

Waache wajaribu wanachotaka tuone kama wapo sahihi ama La.

Pia mna wa overrate sana hao wamiliki mabasi na Malori na hizo nguvu zao.
Ngoja tuone Mkuu, in case hio ikawa substantial, segment size na growth ikawa njema, structure ikawa poa na attractiveness ikawa super, likelihood ya subotage hasa, ajali na increments za running costs, vivuruge taking into account lesson ya reli ya kati na tazara.
 
Unataka gharama zishuke zaidi ya za mabasi na malori yao wao wakale wapi? Au unataka kampuni za shabib na ester zikageuzwe daladala?
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini matajiri hugombea na kununua nafasi za uongozi ccm na bungeni? Ni kweli wanataka kuwatetea na kuwapelekea maendeleo wananchi?
 
Unataka gharama zishuke zaidi ya za mabasi na malori yao wao wakale wapi? Au unataka kampuni za shabib na ester zikageuzwe daladala?
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini matajiri hugombea na kununua nafasi za uongozi ccm na bungeni? Ni kweli wanataka kuwatetea na kuwapelekea maendeleo wananchi?
Tupo njia ya jehanamu nyakati zote kama taifa
 
Tupo njia ya jehanamu nyakati zote kama taifa
Itunze hii kuwa sgr na bwawa la nyerere hakuna mahali vitaenda na vikienda vitakuta wenye uhitaji hawako na moyo Tena!
Kachunguze bandarini uone jinsi mankontena ya majenereta yanavyoshushwa kwa kibali Cha dharura na kaa kibaha uone misururu mirefu ya mabasi mapya yanavyokatiza kwenda kupangiwa route za mikoani! Basi 60 at a time siyo issue ndogo ya kimzaha alafu unataka nauli ya gogo iwe chini! Na umeme January tujiandae na Bei.
 
Itunze hii kuwa sgr na bwawa la nyerere hakuna mahali vitaenda na vikienda vitakuta wenye uhitaji hawako na moyo Tena!
Kachunguze bandarini uone jinsi mankontena ya majenereta yanavyoshushwa kwa kibali Cha dharura na kaa kibaha uone misururu mirefu ya mabasi mapya yanavyokatiza kwenda kupangiwa route za mikoani! Basi 60 at a time siyo issue ndogo ya kimzaha alafu unataka nauli ya gogo iwe chini! Na umeme January tujiandae na Bei.
Hatarias sana Jehovah atusimamie
 
Unataka gharama zishuke zaidi ya za mabasi na malori yao wao wakale wapi? Au unataka kampuni za shabib na ester zikageuzwe daladala?
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini matajiri hugombea na kununua nafasi za uongozi ccm na bungeni? Ni kweli wanataka kuwatetea na kuwapelekea maendeleo wananchi?
Matajiri hujifichia kwenye siasa ili kulinda mali zao.

VUNJABEI nae baada ya kushika pesa nyingi akaingia kwenye siasa. Soon utakuja kushangaa ni mbunge!

Hii nchi bila vita ya wenyewe hatutokuja kuheshimiana daima,tunapswa kupigana ili kila mtu awe na adabu. Ccm ni adui mkuu wa hii nchi.

asilimia kubwa ya watanzani ni wapumbavu na wajinga wajinga? CCM itatawala milele.
 
Matajiri hujifichia kwenye siasa ili kulinda mali zao.

VUNJABEI nae baada ya kushika pesa nyingi akaingia kwenye siasa. Soon utakuja kushangaa ni mbunge!

Hii nchi bila vita ya wenyewe hatutokuja kuheshimiana daima,tunapswa kupigana ili kila mtu awe na adabu. Ccm ni adui mkuu wa hii nchi.

asilimia kubwa ya watanzani ni wapumbavu na wajinga wajinga? CCM itatawala milele.
Kwa mtazamo wangu sio CCM labda kikundi Fulani Cha waasi au syndicate Kwenye vyombo vya usalama, it's a network of members of three Pilar groups of the world.
 
Astakafillullah raaajun mashetani
JamiiForums1103454053.gif
 
Haya yote no ulegevu wa kiongozi tuliyenaye.Maana kwa mfumo wa nchi yetu rais ndiyo kila kitu na akikubali kuendeshwa na wafanyabiashara mafisadi lazima miradi kama hii ya sgr itaonekana haina faida
 
Back
Top Bottom