hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
acha kabisa...hahaaUmemaliza marejesho ya mikopo yako!?..Wiki ilopita umekimbiza mwenge na hasira juu![emoji23].
MZee baba Agnes masogange kafariki aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kabisa...hahaaUmemaliza marejesho ya mikopo yako!?..Wiki ilopita umekimbiza mwenge na hasira juu![emoji23].
sayansi inajibu gani..?Kuhusu kwanini tunaishi nazani unataka jibu la Kidini sababu kisayansi jibu linaeleweka!..
Binadamu anastahili kuwepo na ana evolve kadri muda unavyokwenda mbele ndio maana sasa ana ndoto ya kutawala ulimwengu mzima sio tena dunia hii!..
Ukianzisha biashara ukateka soko la mtaa wewe sio mharibifu ni umeweza teka mazingira yako so next step ni kuteka na mitaa jirani, wilaya, mikoa, nchi hata ulimwengu!.
Kipimo cha akili ni kazi kukitumia sababu mababu zetu hawakuwa na moto wakauvumbua sisi hatuna maji tumetengeneza mvua utalinganisha vipi hapa akili?..
Kila kizazi kiliishi kupambana na mazingira yake, mfano kizazi cha 18 ni tofauti na kizazi cha 23 sababu mazingira yao ni tofauti kabisa!.. Wakati 18 wanaongelea mambo ya dini 23 wanaongelea mambo ya kuwa huru na ndipo ushiriki wa wazazi kwa watoto wao unapokomeshwa kuwa ombi na kuwa lazima!.
Kemea roho ya mauti inayokuandama. Sio kusudi la Mungu ufe kifo ukiwa na umri mdogo.Natamani nifike huko but ndo ivo umri kamili wa kuishi hauniruhusu!
Nadhani hiko ndo kizazi kitakachokua kinadonlodi Nyumba, Kinasafiri kwa e mail etc
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]26: Kizazi cha Nyoka
Dogo unakata tamaa sana na maisha kama mungu alitaka uishi miaka kumi kwa hofu yako ushapunguza miaka 8 hapo.we are all walking dead but others dont give a fuuckk!!
Nifanyaje ili kugundua purpose ganIt's not always about 'not giving a fuckkk' Chief! Sometimes it's about serving for your purpose, chasing the real you, afraid to face it! May be Da'Vinci bado hajagundua hata ni purpose ipi anatakiwa aiserve, maybe bado anafukuzana na his own shadows and not the 'real him'.....maybe he is afraid to face the 'real him'!!.......
***Maisha=Fumbo la Imani
Hahahahhhhh....Natamani nifike huko but ndo ivo umri kamili wa kuishi hauniruhusu!
Nadhani hiko ndo kizazi kitakachokua kinadonlodi Nyumba, Kinasafiri kwa e mail etc